Bibi mmoja alienda bank kuchukua pesa zilizokuwemo kwenye account yake, akaandika cheque na kumpa mhudumu wa benk (teller), huku akisema nataka kutoa Tshs 150,000/="
Yule mhudumu (Binti)...
Naomba kuwambia Basata,BMT,Wizara ya Habari Michezo na tamaduni kuwawajibisha waandaaji wa shindano la Miss Lake zone kwa utapeli angalia gari wanalompa mshindi ni gari Kuu kuuu sana wamelipaka...
Wakuu nilishawahi kuleta uzi humu kama miaka mitatu iliyopita kuhusu stand up comedy shows hapa bongo, natambua wapo wachekeshaji tayari ila bado hii industry iko under utilised sababu ya ukosefu...
Wadau tangu jana nimejikuta nakumbuka sana Walt Disney.
Kilichonikumbusha zaidi ni zile nyimbo za mle ndani, hivyo nilivyoamka tu nikaanza kuzisikiliza.
Roho yangu imefurahi sana nikakumbuka utoto...
kuna wimbo wa Diamond platnum unaitwa CHEKA KIDOGO
MASHAIRI YAKE
"Mwenzako cheka kidogo tabasamu nionyeshe meno kidogo"
siukumbuki vizuri lakini ni baadhi ya mashairi yake
naomba unitumie kwenye...
Kwema Wakuu wangu,
Kuna Series nimeiona wiki chache hizi kwenye Channel Number 251 ya Azam, inaitwa Romanza. Series hii inaitwa The Two of Us, au kwa ki kwao wenyewe "Tayong Dalawa". Hii filamu...
Chicago boys perform a violent rap music with demonic vibe - Kill to Survive. When asked, they amazingly reply "their music has no intention to promote violence, but they want it to go viral!"...
Tazama filamu iliyochezwa na "MUHOGO MCHUNGU" akiwa na "KING MAJUTO" iitwayo "FUNDISHO"..........Cheka mpaka mbavu zako ziume.
bofya hii link hapa chini ....⬇️⬇️⬇️⬇️
#bongomovie #bongomovies...
Kwenye wimbo wake maarufu sana miaka ya 80 ulioitwa girlie girlie almaarufu sigali geleee mwana mama Sophia George aliitaja Tanzania ukiusikiliza ule wimbo mpk mwisho pale anapotaja wanaume wa...
CHANNEL YAKO UIPENDAYO INAOMBA NA INAPENDA KUKUKUMBUSHA USISAHAU KU "SUBSCRIBE" KWENYE CHANNEL YETU YA BONGO SINEMA ILI USIPITWE NA FILAMU NA TAMTHILIA KALI ZA #BONGO NA #AFRICA.
BOFYA LINK...
Mkuu Jay more, nipo kwny foleni nasikiliza ngoma yako ya Tunakula bata, ambayo ni mpya! Niseme tu hongera sana Kia mashairi na ubunifu wako kwenye song hilo. Binafsi si msanii wala producer wa...
[emoji91][emoji91][emoji91]NIAJE MWANA UJANJA WA SIKUIZI NI KUANGALIA MOVIE KIGANJANI MWAKO KWA BEI TU KWA ANAEITAJI MOVIE IZI AJE INBOX NATUMA WHATSAP HUMU HUMU KWA NJIA YA LINK NDAN YA SEKUNDE 5...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.