Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Bibi mmoja alienda bank kuchukua pesa zilizokuwemo kwenye account yake, akaandika cheque na kumpa mhudumu wa benk (teller), huku akisema nataka kutoa Tshs 150,000/=" Yule mhudumu (Binti)...
1 Reactions
2 Replies
848 Views
Naomba kuwambia Basata,BMT,Wizara ya Habari Michezo na tamaduni kuwawajibisha waandaaji wa shindano la Miss Lake zone kwa utapeli angalia gari wanalompa mshindi ni gari Kuu kuuu sana wamelipaka...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu nilishawahi kuleta uzi humu kama miaka mitatu iliyopita kuhusu stand up comedy shows hapa bongo, natambua wapo wachekeshaji tayari ila bado hii industry iko under utilised sababu ya ukosefu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau tangu jana nimejikuta nakumbuka sana Walt Disney. Kilichonikumbusha zaidi ni zile nyimbo za mle ndani, hivyo nilivyoamka tu nikaanza kuzisikiliza. Roho yangu imefurahi sana nikakumbuka utoto...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
kuna wimbo wa Diamond platnum unaitwa CHEKA KIDOGO MASHAIRI YAKE "Mwenzako cheka kidogo tabasamu nionyeshe meno kidogo" siukumbuki vizuri lakini ni baadhi ya mashairi yake naomba unitumie kwenye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kwema Wakuu wangu, Kuna Series nimeiona wiki chache hizi kwenye Channel Number 251 ya Azam, inaitwa Romanza. Series hii inaitwa The Two of Us, au kwa ki kwao wenyewe "Tayong Dalawa". Hii filamu...
1 Reactions
3 Replies
877 Views
Roma Arudisha heshima yake ya Hip hop, sikiliza nyimbo hii Mpya kazungumzia katiba mpya,Tundu lissu,utekaji na Bunge Live. Pia mange kimambi kaguswa
3 Reactions
2 Replies
9K Views
Chicago boys perform a violent rap music with demonic vibe - Kill to Survive. When asked, they amazingly reply "their music has no intention to promote violence, but they want it to go viral!"...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Balaza lipo ila wasanii wanaishi uani By rostam's voice Ngoma inaitwa parapanda
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Hip hop umeendelea sana huku. Majirani wetu Wakenya pia wanajaribu, je unakubaliana na hii list? Top 10 Kenyan Hip Hop Artists
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tazama filamu iliyochezwa na "MUHOGO MCHUNGU" akiwa na "KING MAJUTO" iitwayo "FUNDISHO"..........Cheka mpaka mbavu zako ziume. bofya hii link hapa chini ....⬇️⬇️⬇️⬇️ #bongomovie #bongomovies...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwenye wimbo wake maarufu sana miaka ya 80 ulioitwa girlie girlie almaarufu sigali geleee mwana mama Sophia George aliitaja Tanzania ukiusikiliza ule wimbo mpk mwisho pale anapotaja wanaume wa...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
CHANNEL YAKO UIPENDAYO INAOMBA NA INAPENDA KUKUKUMBUSHA USISAHAU KU "SUBSCRIBE" KWENYE CHANNEL YETU YA BONGO SINEMA ILI USIPITWE NA FILAMU NA TAMTHILIA KALI ZA #BONGO NA #AFRICA. BOFYA LINK...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mkuu Jay more, nipo kwny foleni nasikiliza ngoma yako ya Tunakula bata, ambayo ni mpya! Niseme tu hongera sana Kia mashairi na ubunifu wako kwenye song hilo. Binafsi si msanii wala producer wa...
2 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa walioamini kuwa Vera Sidika na Otile Brown wana deti kumbe ulikiwa tu harakati ya kutayarisha hii video. Oooooh!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
[emoji91][emoji91][emoji91]NIAJE MWANA UJANJA WA SIKUIZI NI KUANGALIA MOVIE KIGANJANI MWAKO KWA BEI TU KWA ANAEITAJI MOVIE IZI AJE INBOX NATUMA WHATSAP HUMU HUMU KWA NJIA YA LINK NDAN YA SEKUNDE 5...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Msaada pls, ikiwa kwenye 720p. Itakuwa vizuri zaidi si mnajua bando tena.
1 Reactions
1 Replies
1K Views
KATI YA ASPHALT 8 AIRBONE NA ASPHALT 9 IPI IKO POA ZAIDIII
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom