Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla.
Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS'
kitabu hiki...
Dkt. Louis Shika ambaye amejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi, Desemba 9, mwaka huu na kushindwa kuzilipia, ameandaliwa usiku...
Habarini Wadau,
Ninajiuliza sana kuwa Tanzania ina mpango gani wa kuwaendeleza hawa waigizaji wa Tasnia ya filamu?
Lah kama si Tanzania basi je viongozi au mameneja wa Tasnia hii wana mpango...
Wanafunzi wote wa vyuo vikuu vya Dodoma mnakaribishwa katika event kali itakayowakutanisha wote, atakuwepo Aslay, Nandy na Dogo janja special appearance JOKATE.
UDOM, CBE, MIPANGO, ST JOHN NA...
What up y’all...
Do you hate earworms as much as I do?
They are so annoying, man.
No matter how dope the song is it gets to a point where you literally can’t stop yourself from hearing it in...
HAYA NI MENGI AMBAYO HUKUYAFAHAMU KUHUSU FILAMU YA TITANIC
(Kwa hisani ya Global Publishers)
JANA niliamua kuangalia tena na tena filamu ya Titanic, hakika sikuichoka na ninaweza kukiri kwamba...
Hua inatokea bahati mbaya naangalia movie za hapa bongo,kiukwel hua najiuliza hivi hii movie ina director?na je kama yupo baada ya kufanya edit zote hua wanakaa na kuiangalia yote kabla ya...
Habari wapendwa,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Muimbaji wa nyimbo za kizazi kipya na pia naweza kiasi kuuandaa.(Producer).
Dhumuni la kuja mbele yenu waungwana, ni kuomba msaada wenu...
hatimaye Gigy Money awa mwanamuziki,ameimba wimbo mzuri sijui nani kamwandikia
tuburudike huku tukitoa maoni kwa jinsi kila mmoja alivyouchukulia huu wimbo,binafsi nimeupenda,nimetumia kanuni ya...
Whats up guys,jamani naomba analysis ya hizi samples za beats kutoka very experienced producers i mean nini cha kuongeza na nini cha kupunguza kwenye hizi samples za beats
Tafadhali naomba unipe jina la movie tajwa hapo juu.
TANBIHI:Hata bongo movie za zamani zijawahi kuziangalia, so kama kuna uliyoipenda nami nimegee jina niweze kuitafuta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.