Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

JF Prefixes:

Natumaini hamjambo wadau wa mashairi na fasihi kwa ujumla. Baada ya kumaliza kuandika kitabu changu cha ushairi kwa lugha ya kiingereza kinachoitwa 'SONGS OF AFRICAN FATHERS' kitabu hiki...
0 Reactions
2 Replies
719 Views
Kama unataka pesa, nenda kwa manji Hapa utapata mashine tuuu...[emoji3] [emoji3] [emoji3]
0 Reactions
12 Replies
2K Views
  • Redirect
wabari wakuu.Nilikuwa naomba mwenye wimbo wa fanuel sedekia anifanyie attachment hapa unaitwa Safari ya imani
0 Reactions
Replies
Views
Abdukiba katoa wimbo mpya akimshirikisha kaka yake Alikiba. Wimbo huo unaenda kwa jina la Single. Tazama
1 Reactions
32 Replies
7K Views
Habar wanaJF, Nataka tujuzane vipindi vipendavyo kusikilizwa sana. Binafsi ni: 1. Jahazi - Clouds Fm (4pm - 7pm) Muendelezo Tafadhali!!!
0 Reactions
8 Replies
2K Views
  • Redirect
Dkt. Louis Shika ambaye amejizolea umaarufu baada ya kuibuka mshindi katika mnada wa nyumba za mfanyabiashara maarufu, Said Lugumi, Desemba 9, mwaka huu na kushindwa kuzilipia, ameandaliwa usiku...
1 Reactions
Replies
Views
Wadau wa simulizi natumaini hamjambo, Jisomee simulizi za kiswahili na kiingereza hapa www.fictionandpoetry.us
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habarini Wadau, Ninajiuliza sana kuwa Tanzania ina mpango gani wa kuwaendeleza hawa waigizaji wa Tasnia ya filamu? Lah kama si Tanzania basi je viongozi au mameneja wa Tasnia hii wana mpango...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Bloodsport (1988) Kickboxer (1989) Lionheart (1990) Double Impact (1991) Universal Soldier (1992) Hard Target (1993) Street Fighter (1994) Timecop(1994) Sudden Death (1995) JCVD(2008)...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Open kumuangalia Insta@chocolatetz1
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Wanafunzi wote wa vyuo vikuu vya Dodoma mnakaribishwa katika event kali itakayowakutanisha wote, atakuwepo Aslay, Nandy na Dogo janja special appearance JOKATE. UDOM, CBE, MIPANGO, ST JOHN NA...
0 Reactions
1 Replies
562 Views
What up y’all... Do you hate earworms as much as I do? They are so annoying, man. No matter how dope the song is it gets to a point where you literally can’t stop yourself from hearing it in...
2 Reactions
9 Replies
822 Views
HAYA NI MENGI AMBAYO HUKUYAFAHAMU KUHUSU FILAMU YA TITANIC (Kwa hisani ya Global Publishers) JANA niliamua kuangalia tena na tena filamu ya Titanic, hakika sikuichoka na ninaweza kukiri kwamba...
18 Reactions
34 Replies
12K Views
Hua inatokea bahati mbaya naangalia movie za hapa bongo,kiukwel hua najiuliza hivi hii movie ina director?na je kama yupo baada ya kufanya edit zote hua wanakaa na kuiangalia yote kabla ya...
0 Reactions
4 Replies
903 Views
Habari wapendwa, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, ni Muimbaji wa nyimbo za kizazi kipya na pia naweza kiasi kuuandaa.(Producer). Dhumuni la kuja mbele yenu waungwana, ni kuomba msaada wenu...
7 Reactions
95 Replies
12K Views
hatimaye Gigy Money awa mwanamuziki,ameimba wimbo mzuri sijui nani kamwandikia tuburudike huku tukitoa maoni kwa jinsi kila mmoja alivyouchukulia huu wimbo,binafsi nimeupenda,nimetumia kanuni ya...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mfollow Sam Rapper Instagram kupitia Hii Link SamRapper @iamsamrapper - Instagram Photos&Videos Au @iamsamrapper @iamsamrapper @iamsamrapper
0 Reactions
0 Replies
446 Views
Whats up guys,jamani naomba analysis ya hizi samples za beats kutoka very experienced producers i mean nini cha kuongeza na nini cha kupunguza kwenye hizi samples za beats
0 Reactions
1 Replies
864 Views
Tafadhali naomba unipe jina la movie tajwa hapo juu. TANBIHI:Hata bongo movie za zamani zijawahi kuziangalia, so kama kuna uliyoipenda nami nimegee jina niweze kuitafuta
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom