Bogoss ndiyo habar ya mjini

Bogoss ndiyo habar ya mjini

monde arabe

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2017
Posts
8,883
Reaction score
13,631
Sote tuimbe,

"Naliamsha dudeeeeeeee
yoyooooooo
Naliamsha dudeeeeee yoyoooooo
Naliamsha dudeeeee yoyooooooo"

Niaje,niaje,niaje, niaje,niaje,niaje
Woooooooooooooozer
Ni shida tupu

Habar za kushinda ndugu zangu wanabodi,
Sometime habar za siasa,kukaza kwa vyuma na kununuliwa kwa madiwani na wabunge tuna weka pembeni then tuna kula muziki mtamu
Story iko hivi...huwa napenda sana kufuatilia interview za Nyoshi el Saadat a.k.a Sauti ya Simba a.k.a Baba na Brandina,sasa leo nikaingia You tube kuangalia kama kuna jipya lolote kumuhusu,nikakuta kuna bonge pini (kitu kinaitwa mama wa kambo)

Humo ndani wamo mafundi kibao kama vile Nyoshi el-Saadat,Toto Kalala,Elombe Kichinja na wengineo wengi
Jamaa baada ya kufukuzwa Fm academia 'the dream team' ameamua kuanzisha band yake inaitwa Bogoss a.k.a nyumba ya baba
Tuli-miss vitu vzr kama hivi sasa ladha ya muziki wa dance inaanza kurudi

"Naliamsha dudeeee yoyooooooo"
Noma sana!
 
Sote tuimbe,

"Naliamsha dudeeeeeeee
yoyooooooo
Naliamsha dudeeeeee yoyoooooo
Naliamsha dudeeeee yoyooooooo"

Niaje,niaje,niaje, niaje,niaje,niaje
Woooooooooooooozer
Ni shida tupu

Habar za kushinda ndugu zangu wanabodi,
Sometime habar za siasa,kukaza kwa vyuma na kununuliwa kwa madiwani na wabunge tuna weka pembeni then tuna kula muziki mtamu
Story iko hivi...huwa napenda sana kufuatilia interview za Nyoshi el Saadat a.k.a Sauti ya Simba a.k.a Baba na Brandina,sasa leo nikaingia You tube kuangalia kama kuna jipya lolote kumuhusu,nikakuta kuna bonge pini (kitu kinaitwa mama wa kambo)

Humo ndani wamo mafundi kibao kama vile Nyoshi el-Saadat,Toto Kalala,Elombe Kichinja na wengineo wengi
Jamaa baada ya kufukuzwa Fm academia 'the dream team' ameamua kuanzisha band yake inaitwa Bogoss a.k.a nyumba ya baba
Tuli-miss vitu vzr kama hivi sasa ladha ya muziki wa dance inaanza kurudi

"Naliamsha dudeeee yoyooooooo"
Noma sana!
Kweli unahaki ya kujiita hilo jina jf, alaf bangi ukimix na konyagi lazima uimbe
 
Nyoshi Fundi sana hivi kwa nn alifukuzwa Fm Academia
Mkuu,wewe umenielewa vzr sana...kuna watu humu walikuja mjini kwa magari ya mwenge so,hawajanielewa na hawataweza kunielewa
Nyoshi El-Saadat alitengenezewa zengwe na Patcho Mwamba alipokuwa FM academia (Familia moja academia) kwa hiyo jamaa akamua kuondoka baada ya kuvuliwa uongozi na kudhalilishwa na mkongo mwenzake (Patcho Mwamba a.k.a tajiri)
GOOD NEWZ;Nyoshi aliondoka na wanamuziki kama vile Elombe Kichinja,Kuna Dogo anaitwa somebody Mauzo na Kalala Junior... vilevile ameweza kuwa-train vijana wengine ambao soon watakuwa homa ya jiji!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom