aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,673
- 3,740
Back to mada sijawahi kuona movie ya ovyo kama hiii ni muendelezo wa movie mbaya toka bongo movie.
-story ni ya hovyo imekaa kusadikika sana vitu ambavyo hata iweje haviwezi kuwepo
-polisi ndio wameharibu sana hii movie kwanza nembo za polisi zimetofautiana kwenye vazi la darkblue na jeusi
-lanyati haijulikani hii ya ofisa au hii ya askari
-mwanzo mpaka mwisho askari hawajaonekana hata na bastora,huwez kuwa na operation kubwa kama hio huna silaha hata kama ndogo.
-askari wanandevu, mashati hawajachomekea kitu ambacho huwezi kukikuta kwenye idara yoyote ya polisi dunian
-mikanda wamevaaa ile ya buku 3 walishindwa kuwachek hata securty guardy wawaasime.
-rubani na ma airhostless wakati wanapanda kwenye gari kwenda airport anaonekana rubani mmoja tu ndio ana begi
-mtuhumiwa mkuu kubinywa tu sekund 2 na bisibis na kusema kila kitu hilo halipogo ivo
-effects za moto zinaonekana kabisa za uwongo
-polisi wanasalimiana bila kupigiana salute.
-damu inaonekana wazi ni tomato
-haikuwa na umuhim kwenda sudani na kenya wakati vyote walivoigiza vinapatikana tanzania
Kifupi imeboa siku nyingne mjitahidi kufanya movie ambayo mnaweza kuitendea haki kwa stahili hii safari bado ni ndefu