Niliyoyaona kwenye movie ya SUMU

Niliyoyaona kwenye movie ya SUMU

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,673
Reaction score
3,740
1AE78606-906A-431F-B722-945663C48C6A.jpeg
9A9958D6-D6AC-488D-AAC5-A79A899B08D0.jpeg
A012FC59-3743-4700-8061-A31C2D12B0C8.jpeg
5DAEC213-6944-4474-A493-10F361D9D5A1.jpeg
6E78A0BF-CD91-479B-9CD8-FB1BC7AA6244.jpeg
08BDC97D-F759-4A69-988F-22ED7EFCB745.jpeg
60AD9BE3-F817-48D8-AA54-B3894F8CE59A.jpeg
644BA6BD-B5E2-4ECD-AFFA-F887E7D6E297.jpeg
2BAB27F8-8E9F-4E87-8F7E-531AC1CE7C51.jpeg
Kama kuingiza hela jamaa wamefanikiwa tena sana, kwa hako ka mtindo ka kulipia 1000 azam tv kwa jinsi movie ilivokuwa hot naiman jana na leo si chini ya milion 100 wameingiza.
Back to mada sijawahi kuona movie ya ovyo kama hiii ni muendelezo wa movie mbaya toka bongo movie.
-story ni ya hovyo imekaa kusadikika sana vitu ambavyo hata iweje haviwezi kuwepo
-polisi ndio wameharibu sana hii movie kwanza nembo za polisi zimetofautiana kwenye vazi la darkblue na jeusi
-lanyati haijulikani hii ya ofisa au hii ya askari
-mwanzo mpaka mwisho askari hawajaonekana hata na bastora,huwez kuwa na operation kubwa kama hio huna silaha hata kama ndogo.
-askari wanandevu, mashati hawajachomekea kitu ambacho huwezi kukikuta kwenye idara yoyote ya polisi dunian
-mikanda wamevaaa ile ya buku 3 walishindwa kuwachek hata securty guardy wawaasime.
-rubani na ma airhostless wakati wanapanda kwenye gari kwenda airport anaonekana rubani mmoja tu ndio ana begi
-mtuhumiwa mkuu kubinywa tu sekund 2 na bisibis na kusema kila kitu hilo halipogo ivo
-effects za moto zinaonekana kabisa za uwongo
-polisi wanasalimiana bila kupigiana salute.
-damu inaonekana wazi ni tomato
-haikuwa na umuhim kwenda sudani na kenya wakati vyote walivoigiza vinapatikana tanzania


Kifupi imeboa siku nyingne mjitahidi kufanya movie ambayo mnaweza kuitendea haki kwa stahili hii safari bado ni ndefu
 
View attachment 815826 View attachment 815827 View attachment 815828 View attachment 815829 View attachment 815830 View attachment 815831 View attachment 815832 View attachment 815833 View attachment 815834 Kama kuingiza hela jamaa wamefanikiwa tena sana, kwa hako ka mtindo ka kulipia 1000 azam tv kwa jinsi movie ilivokuwa hot naiman jana na leo si chini ya milion 100 wameingiza.
Back to mada sijawahi kuona movie ya ovyo kama hiii ni muendelezo wa movie mbaya toka bongo movie.
-story ni ya hovyo imekaa kusadikika sana vitu ambavyo hata iweje haviwezi kuwepo
-polisi ndio wameharibu sana hii movie kwanza nembo za polisi zimetofautiana kwenye vazi la darkblue na jeusi
-lanyati haijulikani hii ya ofisa au hii ya askari
-mwanzo mpaka mwisho askari hawajaonekana hata na bastora,huwez kuwa na operation kubwa kama hio huna silaha hata kama ndogo.
-askari wanandevu, mashati hawajachomekea kitu ambacho huwezi kukikuta kwenye idara yoyote ya polisi dunian
-mikanda wamevaaa ile ya buku 3 walishindwa kuwachek hata securty guardy wawaasime.
-rubani na ma airhostless wakati wanapanda kwenye gari kwenda airport anaonekana rubani mmoja tu ndio ana begi
-mtuhumiwa mkuu kubinywa tu sekund 2 na bisibis na kusema kila kitu hilo halipogo ivo
-effects za moto zinaonekana kabisa za uwongo
-polisi wanasalimiana bila kupigiana salute.
-damu inaonekana wazi ni tomato
-haikuwa na umuhim kwenda sudani na kenya wakati vyote walivoigiza vinapatikana tanzania


Kifupi imeboa siku nyingne mjitahidi kufanya movie ambayo mnaweza kuitendea haki kwa stahili hii safari bado ni ndefu
Ndo Muvi gani hii mkuu? kacheza nani?
 
View attachment 815826 View attachment 815827 View attachment 815828 View attachment 815829 View attachment 815830 View attachment 815831 View attachment 815832 View attachment 815833 View attachment 815834 Kama kuingiza hela jamaa wamefanikiwa tena sana, kwa hako ka mtindo ka kulipia 1000 azam tv kwa jinsi movie ilivokuwa hot naiman jana na leo si chini ya milion 100 wameingiza.
Back to mada sijawahi kuona movie ya ovyo kama hiii ni muendelezo wa movie mbaya toka bongo movie.
-story ni ya hovyo imekaa kusadikika sana vitu ambavyo hata iweje haviwezi kuwepo
-polisi ndio wameharibu sana hii movie kwanza nembo za polisi zimetofautiana kwenye vazi la darkblue na jeusi
-lanyati haijulikani hii ya ofisa au hii ya askari
-mwanzo mpaka mwisho askari hawajaonekana hata na bastora,huwez kuwa na operation kubwa kama hio huna silaha hata kama ndogo.
-askari wanandevu, mashati hawajachomekea kitu ambacho huwezi kukikuta kwenye idara yoyote ya polisi dunian
-mikanda wamevaaa ile ya buku 3 walishindwa kuwachek hata securty guardy wawaasime.
-rubani na ma airhostless wakati wanapanda kwenye gari kwenda airport anaonekana rubani mmoja tu ndio ana begi
-mtuhumiwa mkuu kubinywa tu sekund 2 na bisibis na kusema kila kitu hilo halipogo ivo
-effects za moto zinaonekana kabisa za uwongo
-polisi wanasalimiana bila kupigiana salute.
-damu inaonekana wazi ni tomato
-haikuwa na umuhim kwenda sudani na kenya wakati vyote walivoigiza vinapatikana tanzania


Kifupi imeboa siku nyingne mjitahidi kufanya movie ambayo mnaweza kuitendea haki kwa stahili hii safari bado ni ndefu
Kwa nini unasema MUVI ILIVYO HOT alafu back to topic unasema mbovu?
We mnafiki?
 
Movie za bongo miyeyusho,kuna moja mke wa jamaa kaenda safari Africa kusini ,safari ya wiki mbili,ile tu anaondoka jamaa kaanza mahusiano na housegirl,akampa mimba,ndani ya wiki mbili mke anarudi house girl kashajifungua tayari
 
Moyo umeniuma sana jana 2100 hours! Buku limeniuma na usingizi wangu pia umeniuma sana! Nimejuta kulipia PPV
 
Movie za bongo miyeyusho,kuna moja mke wa jamaa kaenda safari Africa kusini ,safari ya wiki mbili,ile tu anaondoka jamaa kaanza mahusiano na housegirl,akampa mimba,ndani ya wiki mbili mke anarudi house girl kashajifungua tayari
Duuuh movie gani, sirias au ni ya komedi.
 
View attachment 815826 View attachment 815827 View attachment 815828 View attachment 815829 View attachment 815830 View attachment 815831 View attachment 815832 View attachment 815833 View attachment 815834 Kama kuingiza hela jamaa wamefanikiwa tena sana, kwa hako ka mtindo ka kulipia 1000 azam tv kwa jinsi movie ilivokuwa hot naiman jana na leo si chini ya milion 100 wameingiza.
Back to mada sijawahi kuona movie ya ovyo kama hiii ni muendelezo wa movie mbaya toka bongo movie.
-story ni ya hovyo imekaa kusadikika sana vitu ambavyo hata iweje haviwezi kuwepo
-polisi ndio wameharibu sana hii movie kwanza nembo za polisi zimetofautiana kwenye vazi la darkblue na jeusi
-lanyati haijulikani hii ya ofisa au hii ya askari
-mwanzo mpaka mwisho askari hawajaonekana hata na bastora,huwez kuwa na operation kubwa kama hio huna silaha hata kama ndogo.
-askari wanandevu, mashati hawajachomekea kitu ambacho huwezi kukikuta kwenye idara yoyote ya polisi dunian
-mikanda wamevaaa ile ya buku 3 walishindwa kuwachek hata securty guardy wawaasime.
-rubani na ma airhostless wakati wanapanda kwenye gari kwenda airport anaonekana rubani mmoja tu ndio ana begi
-mtuhumiwa mkuu kubinywa tu sekund 2 na bisibis na kusema kila kitu hilo halipogo ivo
-effects za moto zinaonekana kabisa za uwongo
-polisi wanasalimiana bila kupigiana salute.
-damu inaonekana wazi ni tomato
-haikuwa na umuhim kwenda sudani na kenya wakati vyote walivoigiza vinapatikana tanzania


Kifupi imeboa siku nyingne mjitahidi kufanya movie ambayo mnaweza kuitendea haki kwa stahili hii safari bado ni ndefu
Haha nimemsikia jamaa leo analinganisha muvi yake na ya insyuka,
Kajisifia sana kuhusu mavazi wameagiza toka china mengine yamekuja kwa meli, mengine ndege.

haha akajihami kwa wakosoaji mkosoe kwa hekima, nadhani atafurahia ukosoaji huu...

Muvi za kibongo bado kabisa hazinishawishi, asante kwa picha hizo zimenipa mwanga.
 
Back
Top Bottom