JE,WCB WANAPESA KIASI HIKI?

JE,WCB WANAPESA KIASI HIKI?

Wanduta

Senior Member
Joined
Mar 28, 2018
Posts
123
Reaction score
40
nilikuwa nafatilia kwa mbali 40 ya mtoto wa zamaradi mketema,kikubwa kilicho Nishangaza ni menwja mkuu wa diamond platinumz Babu tale kutangaza eti atawatolea viza kwenda South Africa,kwenye birthday ya tiffah,wanakamati wote,je hii? ni sawa
 
Shishi kwa nini asiongee kiswahili tu, aibu tupu...
 
nilikuwa nafatilia kwa mbali 40 ya mtoto wa zamaradi mketema,kikubwa kilicho Nishangaza ni menwja mkuu wa diamond platinumz Babu tale kutangaza eti atawatolea viza kwenda South Africa,kwenye birthday ya tiffah,wanakamati wote,je hii? ni sawa
. Nijuavyo mimi kwa mtanzania kwenda south africa kama ni chini ya siku 90, huitaji viza!!labda kama kuna mabadiriko sasa hivi!!huyo msanii tu kwakuwa wengi hawajui hilo watakuwa wamemshangilia kweli na kumuona bonge la tajiri!!!😃😃😃😃
 
Unadhani kama unakula mapera ni kila mmoja anaishi kama wewe?
 
. Nijuavyo mimi kwa mtanzania kwenda south africa kama ni chini ya siku 90, huitaji viza!!labda kama kuna mabadiriko sasa hivi!!huyo msanii tu kwakuwa wengi hawajui hilo watakuwa wamemshangilia kweli na kumuona bonge la tajiri!!![emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
But anatoa mtonyo kweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom