DSTV leo wamezifungia channels za Tanzania except TBC. Sasa sijui inakuaje inamana kama nataka kuangalia taarifa ya habari inakuaje.
Kiaje nduguMbona mimi napata matangazo vizuri tu muda huu?
Mkuu basi kishumbuzi chako ni cha tofautiMbona mimi napata matangazo vizuri tu muda huu?
iweje.....! angalia TBCDSTV leo wamezifungia channels za Tanzania except TBC. Sasa sijui inakuaje inamana kama nataka kuangalia taarifa ya habari inakuaje.
HUO NDIO UKWELI. NIMEMJIBU MTU HIVO AKAANZA KUTOA POVU
Ndio kipi ?Badilisheni ving'amzi me natumia king'amuzi cha wasira
Ni king'amzi kipya kizur kweliNdio kipi ?
JiongezeDSTV leo wamezifungia channels za Tanzania except TBC. Sasa sijui inakuaje inamana kama nataka kuangalia taarifa ya habari inakuaje.