Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hyu tutampima mkojo
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Umofia kwenu wana JF, Nimeusikiliza kwa makini sana wimbo wa Gozbert Goodluck - Shukrani na Wimbo wa Shalom Chris - My Beautifier naona kama melody zinashabihiana kiaina. Inawezekana nikawa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuna huu mchezo mpya unaitwa bonanza a.k.a Dubu ni mchezo mpya wa kamali umeletwa na wachina,watu wengi mnanaufam. huu mchezo ningeomba serikali muwaambie hao wachina waweke sehemu maalum ya...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Baada ya kutulia na kusikiliza nyimbo za miamba hawa wawili toka pale Jiji la Kinshasa huko Jamuhuri ya Congo DR. Sasa ni rasmi huyu Mwamba Ferre anaMuziki wa kulevya sana. Pia nyimbo zake nyingi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu msaada tutani kwa sisi wapenda boxing na wanawazi wa mchezo huu. Hii game kuna channel inayopatikana hapa Tanzania ambayo itaonyesha pambano hili? Nimeangalia dstv naona kavu.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Karibuni simba arts group tunapokea mialiko mbali mbali ya Sanaa Kama michezo ya Ngoma za asili,michoro ya ukutani, Tingatinga tunapatikana Zanzibar 0718923981
0 Reactions
0 Replies
917 Views
Hakika Wasanii wetu wamekuwa kimya sana toka habari za kuugua kwa Msanii Hawa kutangazwa.Nimewataja wasanii wajitokeze kwa wingi ili watuongoze na watanzania wengine tumwokoe Binti huyo.Shime...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Katika muziki wa bongofleva kumewahi tokea wasanii ambao walihit katika nyimbo walizoshirikishwa na baadaye watu wakawa na hamu ya kuwasikia katika nyimbo zao wenyewe, ila matokeo yake yalikuwa...
1 Reactions
9 Replies
7K Views
Kuna huyu Juelz Santana huyu jamaa ni hatari kwa waliomfahamu watakubali, mwingine ni Chingy na Ja Rule mwenye taarifa zao tafadhali atujulishe...
1 Reactions
2 Replies
954 Views
Niend direct kwenye mada husika hapo juu..ni kwel tunaona mziki wa bongofleva ukivuka mipaka tena sana tu lakini shida ni moja tu wasanii hawajui namna ya kuendana na mziki huo wa kimataifa bado...
6 Reactions
15 Replies
2K Views
Hiyo caption kijana kaiandika kwa hisia sana. Kuna kitu kinaendelea kati ya Hawa wawili ama ndo Besties kama alivyoandika hapo kwa herufi kubwa? Last time I checked Jada na Willy walikua na Open...
1 Reactions
42 Replies
5K Views
Wakuu habari..!!!hivi kwanini siku izi mziki wa bongo fleva nyimbo zao zimekuwa azina ujumbe mzuri ila zimekuwa na ujumbe wa matusi sana mfano zamani mziki wa bongo fleva mtu ukisikiliza nyimbo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Morogoro tarehe 29 tunafungua karibuni sana jamhuri stadium!
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nilikuwa nafuatilia ratiba ya futuhi Leo Chelsea wanakutana na Thesalonike FC[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Hakika Marehemu Kanumba kaondoka na wasanii walibaki wameshindwa kabisa kuziba pengo lake.Kumbe Marehemu Kanumbi ndio aliibeba tasnia ya filamu.Nilitegemea kina JB, Ray , Wema na wengineo...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wangapi wakisikia ngoma hiyo lazima wakumbuke mbali sanaaa,,,,
0 Reactions
3 Replies
2K Views
tukutane apa .Na tupeane updated za muendelezo wake .ni musika gani alikufanya siku yako iwe poa Kila ulipo tazama pirates of the Caribbean .binafsi Na mkubali yule jitu pweza
0 Reactions
70 Replies
9K Views
Back
Top Bottom