Wako wapi watalamu hawa wa dance?

MAPITO Mwanza

JF-Expert Member
Aug 21, 2018
3,685
5,011
Waziri sonyo mhina panduka Maiko liloko Enduru sekedia kofi wa Tanzania nk hebu jamani tujuzane wapo kweli kwenye game?
 
Waziri sonyo mhina panduka Maiko liloko Enduru sekedia kofi wa Tanzania nk hebu jamani tujuzane wapo kweli kwenye game?
Sonyo yupo Tanga.Panduka yupo kibaha ana band,Sekedia yupo Japan wakati mwingine huwa anakuwepo hapa Dar,huyu Maiko liloko sina taarifa naye
 
Sonyo yupo Tanga.Panduka yupo kibaha ana band,Sekedia yupo Japan wakati mwingine huwa anakuwepo hapa Dar,huyu Maiko liloko sina taarifa naye
safi sana mdau lakini nimewataja wachache Sana wengine waweza nikumbusha Kama kina elisto angae nawengine kibao si unakumbuka enzi za kina makei fanta jani
 
Back
Top Bottom