MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,685
- 5,011
Waziri sonyo mhina panduka Maiko liloko Enduru sekedia kofi wa Tanzania nk hebu jamani tujuzane wapo kweli kwenye game?
ToT miaka hiyoWaziri sonyo mhina panduka Maiko liloko Enduru sekedia kofi wa Tanzania nk hebu jamani tujuzane wapo kweli kwenye game?
Sonyo yupo Tanga.Panduka yupo kibaha ana band,Sekedia yupo Japan wakati mwingine huwa anakuwepo hapa Dar,huyu Maiko liloko sina taarifa nayeWaziri sonyo mhina panduka Maiko liloko Enduru sekedia kofi wa Tanzania nk hebu jamani tujuzane wapo kweli kwenye game?
safi sana mdau lakini nimewataja wachache Sana wengine waweza nikumbusha Kama kina elisto angae nawengine kibao si unakumbuka enzi za kina makei fanta janiSonyo yupo Tanga.Panduka yupo kibaha ana band,Sekedia yupo Japan wakati mwingine huwa anakuwepo hapa Dar,huyu Maiko liloko sina taarifa naye
Eliston Angai amejikita South na Zimbabwesafi sana mdau lakini nimewataja wachache Sana wengine waweza nikumbusha Kama kina elisto angae nawengine kibao si unakumbuka enzi za kina makei fanta jani
unaikumbuka ikibindankoiEliston Angai amejikita South na Zimbabwe
Sana tu mkuu.unaikumbuka ikibindankoi