The Mafik band....

The Mafik band....

donlucchese

JF-Expert Member
Joined
Mar 23, 2011
Posts
17,257
Reaction score
22,138
Hawa jamaa nilianza kuwasikia first kwenye ngoma yao inaitwa carola ila kama sikuwaelewa hivi. Ila hii ngoma yao ya passenger, kwakweli imenibamba, hususan pale mwisho jamaa anavyomwaga kidogo francaise, keep the good music alive.
 
Huyu dogo Amadai alikua THT ali hit kidogo kipindi fulani naona amekuja kivingine,naskia boss wao ni Sheta
 
passenger ...acha kabisaaa ...nashangaa wabongo wanavyo papatikia majimbo yakingese "" kisa katoa mtu Fulani na Fulani ...halafu wanaacha miziki mizuri kama hiyo inapita tu" hiyo ngoma ilipaswa kuwa ndio wimbo wa taifa kwa kipindi hiki
 
Asee yaan now naiskiliza hii ngoma. Jamaa yuko poa sana ni gud music ambayo unasikiliza anytime tofuat na miziki ya watoto wa wasafi matusi mengi sana sijui wanawaza nini wakiwa wanatunga nyimbo zao. Hii ni iko poa sana. Nimeiweka kwenye playlist yangu nakula mambo tu huku nikiinua siku taratiiibu.
 
Wajihadhari sana na Fitina za hapa tanzania, clouds Fm na kadhalika
 
Asee yaan now naiskiliza hii ngoma. Jamaa yuko poa sana ni gud music ambayo unasikiliza anytime tofuat na miziki ya watoto wa wasafi matusi mengi sana sijui wanawaza nini wakiwa wanatunga nyimbo zao. Hii ni iko poa sana. Nimeiweka kwenye playlist yangu nakula mambo tu huku nikiinua siku taratiiibu.
Kula flavour mkuu
 
Back
Top Bottom