Habarini za mchana! (mods naomba thread hii isiunganishwe tafadhari)
Kwanza kabisa napenda kudeclear kuwa mimi ni mpenzi wa burudani na sio Fiesta au wasafi festival, hizi zote mimi nilikuwa...
Wala siwaonei huruma bali nasema mmestahili kutokewa na kilichowatokeeni leo na pengine hili sasa linaweza kuwafanyeni mjitafakari upya na muache kuwa na Kiherehere na Kujipendekeza wakati ukweli...
Wadau,
Nimefikiria biashara flani hivi kwamba iwe kama FUNCTION flani lakini ilete mafao, nimefikiria kuiita NYAMA CHOMA FESTIVAL ambayo nafikiria iweze kufanyika eneo lililo wazi hivi, pawepo na...
(verse 1:)
Chakwake chakwako,chakwako cha kwake
Pamoja wakati wote kama kidole na pete
Sio lazima awe ndugu hata mtu wa mbali
Ukiumia anaskia uchungu anajali kwa kila hali...
Christopher George Latore Wallace (anajulikana kama Biggie Smalls, jina la jambazi la kwenye filamu ya mwaka wa 1975 ya Let's Do It Again, "The Black Frank White", jina la mwuza madawa ya kulevya...
Jua ni moto
Tena ni mwangaza ya dunia
Jua, maji, mwezi, nyota, upepo na udongo
Ni uzima wa binadamu
Nadina yooo
Nadina yoyo
Nadina yooo
Nadina yoyo
Tuombe mungu baba yoyo
Atuhurumie...
Wanajukwaa leo ndio sikukuu ya Wapenda burudani wote ambapo wasanii mbalimbali wakiwemo manguli kadhaa kutoka Africa..
Kuna Jose Chameleon kutoka Uganda,Teknomiles na Yemi Alade kutoka...
Fiesta fursa kuanzia sokoni leo inafikia tamati katika viwanja vya CCM mjini Mtwara baada ya matamasha hayo kufanyika katika mikoa yote ya Tanzania bara kasoro Dsm. Msemaji wa wadhamini wenza wa...
Yawezekana Clouds Media Group yashinda hii vita baada ya taarifa kuwepo kuwa Tigo Fiesta Dar es salaam inaenda mpaka Asubuhi licha ya RC wa DSM kusema kuwa iishe saa 7 usiku ambayo iko ndani ya...
Kwanza naomba mods msiuunganishe huu uzi na uzi mwingine wowote.
Maana kwa kufanya hivyo, ntashindwa kuzipata hizi nyimbo.
Kuna kwaya fulani inaitwa Nioth Prophetical Singers, hawa wana Albam...
Waandaaji wa tamasha la kila mwaka la Fiesta, Clouds Media Group wamelazimika kuwarudisha wasanii wote waliotolewa kwenye 'list' ya watakaotumbuiza baada ya muda kuonekana kuwa kikwazo...
Wadau mnaojua haka kamchezo kanaendaje mtueleze baada hivi karibuni kumekuwepo kwa lawama nyingi sana kwa radio moja eti inanyonya ilikuwa inanyonya ni kweli kwamba kwingine kupo sawa au ni...
Wimbo huo hapo juu ulioimbwa na kundi maarufu LA Abba kama sikosei ndio wimbo mzuri kuliko yote niliyowahi kuisikia duniani kama Kuna mwenye mashairi yake na maudhui auchambue kidogo roho yangu...
Hivi ni lini mtawafanya wateja wenu waelewe kuwa kuna juhudi mnafanya kurudisha local chanels kwenye kisimbuzi chenu?
Au mmeona hakuna namna namna mnaweza kurudi tena tuambieni wateja wenu...
Wakuu,
Mimi ni mdokezaji tu, ni kama mjumbe wa nyumba 10.
Ni hivi, Wasafi Festival inakuja kuifuta kwenye Ramani FIESTA, Fiesta ambayo imelea wengi, imeibua wengi tangu mwaka 2000 wakati...
Waungwana mko salama? Aisee siamini nilichoshuhudia yani ni media yetu hii hii au kuna lengine limewakumba?
CLOUDS FM imefikia hatua inatembea na magari mabarabarani kutangaza Fiesta?? Kweli...