Azam tv mmekwama kabisa ?

Azam tv mmekwama kabisa ?

heavyload

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
925
Reaction score
528
Hivi ni lini mtawafanya wateja wenu waelewe kuwa kuna juhudi mnafanya kurudisha local chanels kwenye kisimbuzi chenu?

Au mmeona hakuna namna namna mnaweza kurudi tena tuambieni wateja wenu tujiongeze!
 
Fuatilia vyombo vya habari na ufafanuzi TCRA walishatoa . ufumbuzi ni waziri husika kubadili sheria kwa sababu katazo hilo lipo kisheria zaid na si vinginevyo. Usiwalaumu Azam wala Dstv ilaumu serikali
 
Fuatilia vyombo vya habari na ufafanuzi TCRA walishatoa . ufumbuzi ni waziri husika kubadili sheria kwa sababu katazo hilo lipo kisheria zaid na si vinginevyo. Usiwalaumu Azam wala Dstv ilaumu serikali
Sasa sio wao azam watupe taarifa wamefikia wapi kimjadala na serekali?!!
 
Nafikiri muda si mrefu watashuhudia kushuka kwa mauzo ya ving'amuzi na vifurushi vyao. Pia watajilaumu wenyewe kufanya biashara bila kuzingatia sheria.
 
Fuatilia vyombo vya habari na ufafanuzi TCRA walishatoa . ufumbuzi ni waziri husika kubadili sheria kwa sababu katazo hilo lipo kisheria zaid na si vinginevyo. Usiwalaumu Azam wala Dstv ilaumu serikali
Ukiangalia kwa undani kama kuna kaudicteta kidogo katika serikali hii
Maana TCRA kuweka sheria ambazo hazitafriki kuhusu vinga'muzi na hawataki kuzibadilisha kana kwamba wao waliotunga hizo sheria ni miungu hivyo hawawezi kukosea
Mwisho wa siku anaekosa haki hapa sio media ila ni wananchi
 
Hivi ni lini mtawafanya wateja wenu waelewe kuwa kuna juhudi mnafanya kurudisha local chanels kwenye kisimbuzi chenu?

Au mmeona hakuna namna namna mnaweza kurudi tena tuambieni wateja wenu tujiongeze!
Karibu Star times, utakosa ligi ya kijinga ya bongo na kipyenga cha Omar lkn burudani nyingine utazikuta. Azam wana mambo ya ajabu
 
Nahisi ni kama mtimanyongo tu amewekewa azam maana dstv na zuku miaka kibao waliweka hizo local channel na hatukusikia kuwa wanavunja sheria ila baada ya Azamu tu kuanza ndio yakazuka hayo
Na kama unakumbuka azamu wamezuiwa vitu viwili
Kuonyesha local channel kupitia king'amuzi chao na pili ni
Kuandaa na kurusha taarifa za habari katika king'amuzi chao
Hakuna lolote zaidi ya majungu tu
 
Eti wadau nasikia sikia kwamba jk ana mkono wake AZAM...??? Sijui ni kweli..???
 
Wakuu ni visimbuzi gani ambavyo vinarusha local chanels na viko vizuri visivyo na usumbufu hasa kwenye vipindi vya mvua?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom