Nyama choma Festival

Nyama choma Festival

Click Hapa

JF-Expert Member
Joined
Jan 27, 2013
Posts
479
Reaction score
210
Wadau,

Nimefikiria biashara flani hivi kwamba iwe kama FUNCTION flani lakini ilete mafao, nimefikiria kuiita NYAMA CHOMA FESTIVAL ambayo nafikiria iweze kufanyika eneo lililo wazi hivi, pawepo na vinywaji na bites na nyama choma lakini vyote hivi viwe vinauzwa kwa watakao hudhuria.

Inawezekena maelezo hayajajitosheleza lakini kwa namna flani naweza kuwa nimeeleweka.

Wadau naombeni mawazo jinsi ya kuboresha wazo hili na then kuliweka ktk practice. (Tafadhari zingatia gharama nafuu ya maandalizi)

Natanguliza shukurani.
 
Hata uoni aibu eti nimekaa nikafikiria bora hata ungekuwa wa bush na hauna access ya internet sawa Mwenzio kakaa kafikiri kaianzisha imekuwa maarufu inafanyika mara 4 kwa mwaka akaiita nyamachoma festival leo ujidai unataka kuanzisha na wewe mbaya zaidi umecopy hadi jina ina maana hujawahi kusikia Nyamachoma festival b4 au hata humu jf kwenye post hujawai iona au ukisikia hilo neno unadhani ni bar moja maarufu mjini. Mwachie Caroline Ndosi idea yake tumia akili kuwaza biashara nyingine au km hiyohiyo basi badili jina usiibe kila kitu.
 
Hata uoni aibu eti nimekaa nikafikiria bora hata ungekuwa wa bush na hauna access ya internet sawa Mwenzio kakaa kafikiri kaianzisha imekuwa maarufu inafanyika mara 4 kwa mwaka akaiita nyamachoma festival leo ujidai unataka kuanzisha na wewe mbaya zaidi umecopy hadi jina ina maana hujawahi kusikia Nyamachoma festival b4 au hata humu jf kwenye post hujawai iona au ukisikia hilo neno unadhani ni bar moja maarufu mjini. Mwachie Caroline Ndosi idea yake tumia akili kuwaza biashara nyingine au km hiyohiyo basi badili jina usiibe kila kitu.

Mkuu, umekuja na hasira mno, siyo wote tunaoishi Kijitonyama nchi hii, na wala siyo kila thread inayokuwa posted kwenye mitandao ya kijamii lazima isomwe eti kwa shauri tu kwamba mtu una access, after all hakuna biashara mpya chini ya jua, na terminologies ni zile zile tu. Hapo sijaona nimekosea wapi.
Hata hivyo umenisaidia kujua kumbe wazo nililo nalo wapo ambao tayari wanalifanyia kazi.
 
Hata uoni aibu eti nimekaa nikafikiria bora hata ungekuwa wa bush na hauna access ya internet sawa Mwenzio kakaa kafikiri kaianzisha imekuwa maarufu inafanyika mara 4 kwa mwaka akaiita nyamachoma festival leo ujidai unataka kuanzisha na wewe mbaya zaidi umecopy hadi jina ina maana hujawahi kusikia Nyamachoma festival b4 au hata humu jf kwenye post hujawai iona au ukisikia hilo neno unadhani ni bar moja maarufu mjini. Mwachie Caroline Ndosi idea yake tumia akili kuwaza biashara nyingine au km hiyohiyo basi badili jina usiibe kila kitu.

Just thinking aloud. Huyu unayemtaja ana Hati Miliki ya hiyo Idea na Jina?
 
Back
Top Bottom