Tujadili Tamthiliya ya Sultan

sinajinasasa

JF-Expert Member
Dec 10, 2013
2,989
4,127
Hivi wapenzi wa hii tamthilya, nikiangalia naona kamq ipo ukingoni, Hurem ameipata Harem na Ibrahim pasha ameishajulikana mwisho wake Hadije atamtaliki hivyo Pasha anaweza kuuliwa. Pasha akiga ndo utamu wa tamthiliya unaisha. Au mnasemaje wapenzi wenzangu?
 
Una uhafidhina wa hali ya juu mkuu. Sauala la kuwa mpenzi wa Tamthilia linahusianaje na jinsia sasa? Kwa taarifa yako tamthilia ya Sultan inatazamwa kwa sasa na kila rika na bila kujali jinsia.
Huyo kazi yake ni boda boda hana muda na TV!
 
Wengine sisi hata kama saa 4 usiku tukiwa hatujarudi home tunaangalizia hata kwa Azam TV App kwenye simu, wapenz wa Sultan tupo wengi sana mkuu......na kwa faida ya bwana Zero IQ jinsia yangu ni ME. hahahaaa.
Pia mimi umeme unapokatika nahakikisha nina bando la kuangalia online.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom