MAPENZI KICHAWI-SEHEMU YA 2

mastory

Member
Dec 5, 2018
18
10
SIMULIZI;MAPENZI YA KICHAWI.
MTUNZI;RAJA SAIDY.
WHATSAPP;0756920739.
SMS;0621047841.

SEHEMU YA PILI ( 2 )

ILIPOISHIA.........
Nilizungumza na Mzee yule huku nikiwa naanza kusimaa kwa ajili ya kuondoka.

"Sawa Kijana wangu,ukifanikisha kila kitu, nitakupa kila utakacho,pia ukishaleta vitu hivyo nitaanza kukupa dawa ya mwisho itakayofanya damu ya Mama yako ambayo utakuwa umeinywa isitoke mwilini mwako kwa kuikojoa.Isipotoka mwilini mwako itakupa nguvu kali za kishetani."

"Sawa Mzee wangu kazi njema,ngoja nimuwahi mama,kabla ajaenda shabani....!!
"Sawa"
Nilianza safari ya kuvuka barabara kwa ajili ya kwenda kufanya ukatili wa kuandaa mazingira ili ifikapo tu saa nane usiku nimchinje Mama yangu.
Itaendelea..........

ENDELEA NAYO.........

Nikiwa najiandaa kwa kujiweka sawa,kisha nikaangaza upande wa kushoto wa barabara pia upande wa kulia hivyo hivyo kwa kuhakikisha hamna gari yeyote iliokuwa inataka kupita.
Hakika nilikuwa nina furaha moyoni mwangu.

Umakini wa hali ya juu niliutumia hasa katika kupanga jambo la kuanzia mpaka la kumalizia.Hatua zangu zilikuwa hazielewi na kubadilika mara kwa mara hasa pale wazo liliponijia yakuwa,Mama huenda nisimkute nyumbani.
Niliongeza mwendo na kutembea kama kichaa ilimradi nimuwahi tu Mama.Nilichukua muda kadhaa kwa kuhakikisha nitamuwahi Mama kwani uhondo na tamaa ziliendelea kunikabili.

Hatimaye nilifika nyumbani na kukuta mazingira kidogo yalinishtua kwani hata mlango wa Mama ulikuwa umefunguwa kwa nje,niliamini Mama ameshaondoka na kwenda shambani kwani kama kawaida yake uacha mazingira ya nyumbani yakiwa safi.

"Du,sasa Mama itakuwa ameenda wapi,mbona mipango yangu inaanza kufeli"

Kutokana na kuwa nilikuwa nimechoka sana, hivyo wakati nazungumza maneno hayo,pumzi iliyokuwa inatoka kifuani mwangu ilikuwa kali,yote sababu wakati nilipokuwa narudi nyumbani kwa kumuwahi Mama nilikuwa nakimbia hivyo ilinisababisha kutawaliwa na uchovu mwingi mwilini mwangu.

Nilielekea hadi mlangoni mwachumbani kwangu kwa lengo la kuufungua kisha nikaingia ndani,nilijitupa kitandani kama mzoga huku mapigo yangu ya moyo yakiendelea kwenda mbio.

Kilichonishangaza zaidi ni mabadiliko ya mwili wangu kuwa makubwa tofauti na nilivyozoea.kwani muda ulivyokuwa ukizidi kwenda, ndivyo mapigo yangu ya moyo yalivyokuwa yakizidi kuongeza kasi kwa kudunda haraka haraka na kunifanya nianze kuhema kwa kasi zaidi huku nikiwa bado nimelala kitandani.

"Mama nakufa nakufa Mama,mwanao nakufa......"

Niliendelea kupiga kelele bila ya mafanikio mpaka nikajikuta napoteza fahamu.

Nilishtuka majira ya saa nne usiku huku nikihisi niko sawa na kamili zaidi,nilianza kusikia viashiria vya sauti ya kukaangiza kwa kitu ikisikika kwa nje na kunifanya niamini yakuwa Mama amesharudi.

Kabla sijatoka nje nilianza kujiuliza kichwani mwangu, ile hali ilikuwa ikiashiria nini,mpaka nikajikuta nakosa jibu .
Sikutaka kujiuliza maswali mengi sana bali nilisimama huku nikiwa nan'yata bila hata ya Mama kunisikia kisha nikaingia chini ya uvungu wa kitanda changu kisha nikachomoa panga nililokuwa nimelinoa kwa ustadi wa hali ya juu.

"Mwanangu Twalibu njoo ule chakula tayari mwanangu."
Nilimsikia Mama akiniita kwa sauti ya upole na yamadeko zaidi kama kawaida yake kwa kila siku,ila sikumjibu chochote ili apate kuja ndani mwangu kwa lengo la kuniangalia na mimi kupata nafasi ya kumfunga kamba kwa kutaka kumuuwa endapo yakishafika majira ya saa nane usiku.

Nilijibanza nyuma ya mlango, kutokana na kuwa tulikuwa hatuna umeme hivyo haikuwa rahisi kwa Mama kugundua kama nimejibanza nyuma ya mlango.

Nikiwa nimekauka,nilianza kusikia hatua za Mama akija chumbani mwangu huku akiwa na taa yake mkononi,Mama aliingia ndani kisha akaanza kuangaza kwa kutumia mwanga hafifu kwa simu yake.
Bila kupoteza muda nilimkaba Mama na kufanya atupe simu yake chini.
"Mwanangu acha hiyo michezo Mama yako nimechoka.."

Mama alikuwa ameshazoea mwanae ni mtu wa matani na ndio maana kila nilichokuwa nakifanya alikichukulia kama masihara.
Wakati nikiwa nimemkaba Mama huku yeye akiendelea katika kujitahidi ili ageuke nyuma na kufahamu huenda si mwanae aliyemkaba.Alijitahidi awezavyo lakini hakubahatika kuniona ila moyoni mwake aliamini ni mimi na sio mwingineyo.
Hali ile iliendelea kama mzaa kwani bado Mama aliamini ni mimi ndio niliyekuwa nimemkaba na kufanya kila muda atoe tabasamu huku akiendelea kuzungumza.

"Mwanangu Twalibu umeshika pabaya,twende ukale mwanangu acha mzaa kwanza...!!"

Nilianza kuangalia ni wapi Mama anaposema nimemshika pabaya na kugundua nilikuwa nimeshika sehemu za siri.

Ama hakika nilianza kumtamani Mama kwani katika zile purukushani za hapa na pale zaa Mama kuangaika katika kuondoa mikono yangu iliyoshikana mbele ya sehemu zake za siri ,ilipelekea Mama kuanza kulegea kwa kutoa sauti za kimahaba.

"Mwanangu acha basi sijisikii vizuri mwanangu. Unavuka mipaka ondoa mikono yako."

Mama alianza kushtuka kwani tangia ameanza kuniongelesha sikuweza kumjibu hata kimoja na kumpelekea aanze kupika kelele.

"Majirani nakufaaa,majambaziii wamenivamia..."

"Mama sio majambazi ni mimi mwanao"

Akili ya kishetani ilianza kunijia kichwani mwangu, huku nikihitaji kufanya mapenzi na Mama yangu mzazi kwani niliona hiyo ndio njia harisi ya kumfanya Mama alegee kisha Mimi nipate nafasi ya kumchinja.

"Mwanagu kama ni wewe, mambo gani haya unafanya unanipa presha mie..!!"

"Kumbe na wewe Mama nimuoga..?"

Niliongea huku nikiwa naendelea kupapasa sehemu nyeti za Mama na kumfanya aanze kutoa mihemko ya kihisia,nilikuwa nahuakika Mama hawezi kukataa kufanya mapenzi na mimi kwani miaka mitano imepita sasa tangu baba afariki hivyo Mama alihimisi michezo hatari ya Baba kwa kipindi kirefu.
Nilianza kumuachia Mama pole pole kwa kumtega ili aanguke kitandani, haikuwa rahisi nilifanya hivyo huku nikiendelea kumtomasa Mama yangu Mzazi,japokuwa kila nilichokuwa nafanya Mama alichukulia ni utani.

"Mwanangu acha kunitomasa mimi Mama yako ujue"

"Najua Mama ila mimi nilihitaji tu kukutomasa nakupenda mama.."

"Hata mimi nakupenda mwanangu ila sitakuruhusu uendelee kufanya hivyo kwani mimi ni mwanamke kama wengine na nina hisia vile vile."

Nilianza kumlazimisha Mama kwani nilijua hawezi kukubali kiurahisi,lakini Mama aliweka msisitizo wake na kuanza kusimama kwa nguvu,hapo ndipo nilipo badilika na kuvaa ujasiri kisha nikamvuta kindani....ghaflaaaaaa.....

Itaendelea.......Jiunge kwenye group langu la simulizi kwa kupiga hiyo link ya chini.



SPECIAL STORIES❤❤❤❤❤
1542450140481.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom