Kwa wale wapenzi wa nyimbo za kikongo, hasa rhumba mtakuwa mnaujua huu wimbo, kila nikiusikiliza utafikiri umetoka jana, naurudia usiku, mchana, asubuhi n.k Jamaa alitulia sana kwenye hii nyimbo...
Mwanamuziki huyu alivuma sana Afrika Mashariki kwa sisi ambao ni wahenga kidogo, miaka ya mwanzoni mwa 2000.
Alikuwa akitusuuza nyoyo zetu kwa vibao vyake vikali kama "mama Mia" "acha kulia mambo...
BRING BACK OUR GIRLS
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: PATRICK.CK
Mlango wa ikulu unafunguliwa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anajitokeza mbele ya waandishi wa habari walioitwa kwa...
Mimi ni shabiki mkubwa na mpenz wa kuangalia na kusikiliza movie zilizotafsiriwa na CAPTAIN DERICK MKANDALA RUFUFU tu,
lakini sizipati siku hiz.
Naombeni msaada wenu yyt atakaeweza kunisaidia...
Kwa siku zisizopungua tano Azam TV kupitia channel yake ya sinema zetu imekuwa ikionyesha filamu za legendary Steven Kanumba kama kumbukumbu kwake.binafsi nimefurahi namna walivyompa hiyo heshima...
Wakuu namtafuta mwimbaji na mcheza ngoma za kienyeji maarufu miaka ya 1980 na 1990 aitwaye MWANAMITUMBA. Mara ya mwisho nilisikia yupo kijiji kimoja jina limenitoka huko BUKENE Tabora.
Mwenye...
Nimekuwa mchezaji mkubwa huu mchezo. Huwa nakula na naliwa pia. Kakini ninachokiona ni kwamba yapo majina yana appear sana kana unaweza dhani kuna kanuni fulani ya mzunguko wa mashine wanaufahamu...
Hivi Mwenyezi Mungu aliwabariki na nini hawa Wanamuziki wote wa iliyokuwa inaunda Kundi zima la Bendi ya Wenge Musica BCBG ( zamani 4X4 ) kiasi kwamba huchoki Kusikiliza Nyimbo zao kutokana na...
Habarini wana JF, natafuta ule wimbo maarufu katika kipindi Hiki cha Christmas na mwakampya (tufurahi na mwakampya) by Hamza Kalala,..happy new year
Sent using Jamii Forums mobile app
Zijue sababu za Kings Music kuachia nyimbo mfululizo
Msanii wa muziki Bongo, Alikiba amefunguka sababu za Kings Music kuachia nyimbo mfululizo.
"Kutoa kwetu nyimbo mfululizo sisi kama Kings...
NDOA YANGU
EPISODE -01
Baada ya kufuta meza ya chakula na kuosha vyombo, nilienda chumbani, sikujisumbua kusema usiku mwema kwa Antony ambae alikuwa sebuleni akiangalia fainali ya ligi ya mpira...
Heri ya siku ya ukimwi duniani wadau, mm leo nmeamka tu ile npo kazn basi nkawa nacheck check channel mpya kwenye kisimbusi changu cha Azam. Mara paap kwese Tv hiyo hapo, kusogeza tena mara Tv10...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.