Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Kwa wale wapenzi wa nyimbo za kikongo, hasa rhumba mtakuwa mnaujua huu wimbo, kila nikiusikiliza utafikiri umetoka jana, naurudia usiku, mchana, asubuhi n.k Jamaa alitulia sana kwenye hii nyimbo...
2 Reactions
15 Replies
6K Views
King Of Betting Tips Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
726 Views
jamani dungu wana jf naomba web ya kupata nyimbo mpya za bongo freva?
0 Reactions
4 Replies
16K Views
Mwanamuziki huyu alivuma sana Afrika Mashariki kwa sisi ambao ni wahenga kidogo, miaka ya mwanzoni mwa 2000. Alikuwa akitusuuza nyoyo zetu kwa vibao vyake vikali kama "mama Mia" "acha kulia mambo...
0 Reactions
16 Replies
7K Views
BRING BACK OUR GIRLS SEHEMU YA KWANZA MTUNZI: PATRICK.CK Mlango wa ikulu unafunguliwa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anajitokeza mbele ya waandishi wa habari walioitwa kwa...
9 Reactions
426 Replies
107K Views
Mimi ni shabiki mkubwa na mpenz wa kuangalia na kusikiliza movie zilizotafsiriwa na CAPTAIN DERICK MKANDALA RUFUFU tu, lakini sizipati siku hiz. Naombeni msaada wenu yyt atakaeweza kunisaidia...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Kwa siku zisizopungua tano Azam TV kupitia channel yake ya sinema zetu imekuwa ikionyesha filamu za legendary Steven Kanumba kama kumbukumbu kwake.binafsi nimefurahi namna walivyompa hiyo heshima...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu namtafuta mwimbaji na mcheza ngoma za kienyeji maarufu miaka ya 1980 na 1990 aitwaye MWANAMITUMBA. Mara ya mwisho nilisikia yupo kijiji kimoja jina limenitoka huko BUKENE Tabora. Mwenye...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nimekuwa mchezaji mkubwa huu mchezo. Huwa nakula na naliwa pia. Kakini ninachokiona ni kwamba yapo majina yana appear sana kana unaweza dhani kuna kanuni fulani ya mzunguko wa mashine wanaufahamu...
1 Reactions
26 Replies
34K Views
Kiukwel nimesikiliza wimbo huu na nyingne za huyu jamaa "Apoly" ana tungo nzuri saana nadhani akipata management nzuri n mwiba
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hivi Mwenyezi Mungu aliwabariki na nini hawa Wanamuziki wote wa iliyokuwa inaunda Kundi zima la Bendi ya Wenge Musica BCBG ( zamani 4X4 ) kiasi kwamba huchoki Kusikiliza Nyimbo zao kutokana na...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
Habarini wana JF, natafuta ule wimbo maarufu katika kipindi Hiki cha Christmas na mwakampya (tufurahi na mwakampya) by Hamza Kalala,..happy new year Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Haka katoto kakuitwa angel ambacho kapo based uholanzi aisee ni moto. Needn't to say more.....
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Zijue sababu za Kings Music kuachia nyimbo mfululizo Msanii wa muziki Bongo, Alikiba amefunguka sababu za Kings Music kuachia nyimbo mfululizo. "Kutoa kwetu nyimbo mfululizo sisi kama Kings...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Barnabas akichana wimbo wake 'Njia Panda' aliomshirikisha Dorine aka Pipi pichani Saturday, June 06, 2009 7:35 AM...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
nnahitaj kula bata tonight
0 Reactions
17 Replies
6K Views
NDOA YANGU EPISODE -01 Baada ya kufuta meza ya chakula na kuosha vyombo, nilienda chumbani, sikujisumbua kusema usiku mwema kwa Antony ambae alikuwa sebuleni akiangalia fainali ya ligi ya mpira...
1 Reactions
26 Replies
21K Views
Habari wakuu,mwenye hii simulizi ya picha za michoro naomba anisaidie kunitumia kama anayo yote au jina lake inaitwaje.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Heri ya siku ya ukimwi duniani wadau, mm leo nmeamka tu ile npo kazn basi nkawa nacheck check channel mpya kwenye kisimbusi changu cha Azam. Mara paap kwese Tv hiyo hapo, kusogeza tena mara Tv10...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Back
Top Bottom