Top hiphop artists in Tanzania

Top hiphop artists in Tanzania

Aiseee hivi nyie akina michepuko Deo Corleone na Alola ni hip hop gani mnaizungumzia ??
1) fid q

2) Nikki Mbishi

3) Stereo & one incredible

5) jay moe


Hao ndio top

Hutaki unaacha wamesimama nguzo za hip hop ukitaka kubisha uwe na vigezo
Songa,chindo na sugu wamekosekana hapo.labda top ten ingesuit
 
Last edited by a moderator:
1.Albert mangwair (rip) huyu namkubali hadi kesho .
2.Godzilla ni balaa everybody know.
3.Nikki mbishi hahahaaa huyu jamaa anajijua mwenyewe.
4. Young daresalama anajua sana huyu
5. Young killer Msodoki
 
fid q
one
nick
nash mc
songa
geto ambasador
d knob aka mr sahan
sterio
langa
ngwear
 
Nimegundua Joh Makini mnamchukulia poa sana.

Haha.. Si kwamba tunamchukulia poa, mi nadhani mashairi yake ya kusadikika ndo yanafanya achukuliwe hivyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom