Huu ni uzi maalum kwa wanaJF kuweka Nyimbo Wanazohisi ni nzuri Ajabu na Zitaishi Milele. Mtu ukitaka kusikiliza Nyimbo zilizoenda Shule Huu uzi utakuwa unakuhusu sana. Maana Kila mtu ataweka sumu...
Hivi ule mtindo wa kuwa anafumba macho kwa mda kidogo wakati akitangaza ni pozi au ana ulemavu kidogo...manaake naona kama anapata shida kidogo na kuna mda unaweza kusema anasinzia hadi anakutoa...
Njooni tujulishane Film/ Movie/ Video yako ya kwanza kabisa kuanza kuangalia?
Mimi nakumbuka ilikuwa ni Filamu ya Yesu ( Video ya Yesu) ile ya Kiswahili, nakumbuka tulikusanyika kijiji kizima...
Wadau wa burudani kwa maoni yangu hizi ndio nyimbo bora za bongo flavour kwa mwaka 2018.
Weka nawewe ya kwako tuone.
10.TUNAENDANA-B2K.
9.NYEGEZI-RAYVANNY FT DIAMOND P.
8.KIDOGO-ALIKIBA...
Habari wakuu,
Tunapoeleka kufunga mwaka 2018 ningependa kutoa orodha ya nyimbo zilizonibamba kwa mwaka huu wa 2018....
No 1..ZeZe by Kodak black ft.Travis Scott & Offset
No 2-wake up in the sky by...
DISCLAIMER: Tamthiliya hii sio ya kimama kama wengi wanavyoichukulia. Ni historical fact so nikisikia watu wanawabeza wanaume kuitazama nabaki kusikitika tu. Nakumbuka niliisoma hii historia...
TBC wameanzisha channel mpya inaitwa safari Tv. Hili ni wazo jema na zuri sana. Tatizo ukiingia kwenye menu inaonekana kama safari tv ila Tv yenyewe inasoma au inaonekana kama Tanzania safari...
Wakuuu kwema..!!!Kuna huyu Presenter anaitwa lil ommy ana kipindo chake kinaitwa The play list kuna ile sound track ya mziki uwa unalia kwa mbali lile beat la ule mziki ile ni ngoma gani msaada...
Contrary to previous reports, Cardi B has asserted that her latest rendezvous with Offset in Puerto Rico was not the result of any reconciliation, but rather a transactional interaction when she...
Wadau wa nyimbo za Kwaya kuna huu wimbo unaimba hivi '' ingia ingia iiiingia furahani kwake Bwana..."
Nimeusikia leo kwenye redio, nadhani ni Kwaya Katoliki au inayoendana na hizo.
Naomba...
Wamepambana kutafuta fedha Januari mpaka Disemba na wakaweka akiba kwa ajili ya kufurahia sherehe ya krismas na mwaka mpya ila hivi ndivyo ilivyokuwa.... Unywaji pombe wa namna hii ni starehe au...
Habari wanaJF,
Baraza la Sanaa (BASATA) limewaondolea katazo la kufanya maonesho nje ya nchi msanii Diamond na kundi la Wasafi, na kubakiza katazo la ndani ya nchi
Chanzo: Mwananchi
MADA MEZANI!!
Hivi utafanyaje pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakubana na hukuwa unajua choo kilipo, ukatoka nje na kujisaidia kwenye majani kumbe ni mboga asubuhi ukasikia...
Hii hadithi imetungwa na Deo ni hadithi nzuri sana aisee
BASI LA SHETANI-01
Deo Massawe.
0653195298.
Ulikua usiku wa kiza kinene, katika jiji la Dar es salam, kutokana na uchache wa magari...
Dah,unajua hii historia ni kama imefichwa hiv,yaan nobody talks about it,ila hawa watu weupe walituchukia sana,sjui ni kwanin,yaan so much hate.
Mtu umeshamfanya mtumwa,anakufanyia kaz,kwann...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.