PetterIsuti
Senior Member
- Nov 29, 2014
- 118
- 28
Najua wengi humu ni wadau wakubwa wa Clouds Media Group CMG, Hivyo nimeamua kuanzisha uzi huu uwe mahususi kwa ajili ya wadau waote wa Clouds popote walipo duniani, chochote kile ulichonacho kuhusu Clouds sio mbaya ukakiandika hapa.
Kumbuka hii Redio ilianzishwa December 2 Mwaka 1999 hvyo huu ni mwaka wa 20 tangu kuwepo kwa redio hii hapa Tanzania na imekuwa chachu kubwa sana kwa uwazishwaji wa redio nyingi hapa Nchini na pia bila kusahau hii Redio (media) imekuwa msitari wa mbele sana katka kuinua vipaji vingi sana vya wasanii hapa Nchini.
Mfano mzuri ni msanii kama Diamond amekulia na kulelewa ndani ya Clouds, Clouds ni baba wa burudani hapa nchini kupitia tamasha lao la Fiesta.
Heko kubwa sana kwa Clouds Media Group CMG.
Karibuni Wana jamvi na wadau wa Media hii tuzungumze hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbuka hii Redio ilianzishwa December 2 Mwaka 1999 hvyo huu ni mwaka wa 20 tangu kuwepo kwa redio hii hapa Tanzania na imekuwa chachu kubwa sana kwa uwazishwaji wa redio nyingi hapa Nchini na pia bila kusahau hii Redio (media) imekuwa msitari wa mbele sana katka kuinua vipaji vingi sana vya wasanii hapa Nchini.
Mfano mzuri ni msanii kama Diamond amekulia na kulelewa ndani ya Clouds, Clouds ni baba wa burudani hapa nchini kupitia tamasha lao la Fiesta.
Heko kubwa sana kwa Clouds Media Group CMG.
Karibuni Wana jamvi na wadau wa Media hii tuzungumze hapa
Sent using Jamii Forums mobile app