SEHEMU YA 01-Nyemo Chilongani
“Unahitaji kuwa nani baadaye?” lilikuwa swali la kwanza mzee Jackson Gwamaka alimuuliza binti yake aliyeitwa Nandy aliyekuwa akisoma darasa la sita katika Shule ya...
Sikuwahi kuzipenda muvi za Kihindi ila baada ya kuona trela la muvi iitwayo I, nikaamua kuidownload, imeigizwa mwaka huu, nilitaka kuona inahusu nini. Kiukweli niliipenda mno, hebu ngoja...
Msichana Josie anatarajiwa kuolewa na jamaa aliyeitwa Liam, moyo wake una furaha sana, anapambwa, anajiandaa kwenda kufunga ndoa kanisani. Baada ya dakika kadhaa wanaingia marafiki wa mume...
Muvi moja kali sana. Hebu itafute uone jinsi watoto mapacha saba wanavyoishi maisha ya kujificha tu ndani. Babu wao hakutaka wagundulike kwani wote wangeuawa na kubakizwa mmoja tu.
Wakati...
Enzi ya Mwalimu kulikuwa na majengo kumbi maarufu jijini dar... Tukianzia pale Morogoro road na Msimbazi kulikuwa na kumbi maarufu ya wazee waliopigana vita na mkoroni jina la ukumbi ulikuwa...
Nyemo Chilongani
Bupe Wowowo
Ukiniambia nimuelezee msichana huyu, cha kwanza nitaanza na macho yake. Ni msichana mrembo, asiyeisha hamu hata ukikaa na kumwangalia. Alikuwa na umbo namba nane...
Nimeifuatilia sana hii tamthilia ya Huba ambayo inarushwa dstv
Kiukweli ni moja ya tamthilia bora kwa sasa kuanzia story,script,production, location plus make ups na effects
Upande wa costume...
SEHEMU YA 01 “Johnson! Naomba unisikilize, nisikilize kwanza,” alisema msichana mmoja, mrembo ambaye kwa kumwangalia, usingekuwa na maswali mengi kwamba alikuwa mmoja wa wasichana ambao baadaye...
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa Komred Kheri James (MCC) amewaongoza viongozi na watendaji wa jumuiya hiyo ktk shughuli ya kukabidhi vifaa vipya navya kisasa kwa bendi yao ya Vijana Jazz ikiwa ni...
Wadau mtakumbuka Msanii Daimond alimhudumia Msanii Hawa kwenda India kwa matibabu.Naamini Msanii Hawa karejea vipi anaendeleaje na afya yake? Tunaomba mwenye taarifa zake atujuze.
Sent using...
Yupo clouds now XXL najiulizaga maswali mengi huyu jamaa anaishi maisha gani mbona haonekani kabisa yani maisha yake hayajulikani yalivyo japo kuna tetesi alikuwa anavuta unga lakini now anasikika...
Hii movie inatoa fundisho kwa single mams kuwa makini sana hasa wanapokuwa wameachana au kufiwa na waume zao. Nibora uwe mpweke kuliko kuumizwa mara ya pili, hasa unapokutana na mwanaume mlaghai-...
The new adventure begins when a cyberattack reveals the identities of all active undercover agents in Britain, leaving Johnny English as the secret service's last hope. Called out of retirement...
Simba sports club ndio kikosi bora cha mpira kwa sasa kwa upande wa mashariki ya Africa. Lakini mnatuhuzunisha kwakuwa huo ubora unaoongelewa bado hamjauthibitisha.
Ubora wa mpira unaonekana...
Je unakumbuka mnanda/mchiliku na vituko na matukio yake enzi hizo upo kwenye chati.je umeumis mziki huu wenye radha ya aina yake? Ebu tutajia nyimbo unayoijua