Habari zenu wana jf
Kam kichwa kinavosema tunaweza kwa tuliopo kweny mwendokasi mda huu tumaweza fanya maongezi
Nb: Uzi huu utakua unafanya kazi watu mkiwa kweny mwendokasi ukishuka sign out na...
UBETI WA KWANZA
Figure huonekana hata kwenye baibui
Mchovu akipewa hilo zigo hainui
Chungu cha moto bila ufundi haivui
Wachina wanaleta mbolea haujui
Mi nalipenda likiwa so natural
Au...
Kauliza Salaam meneja wa Diamond!
Pia kapost picha za Shilawadu. Ni kama ana-show ni wazima wa afya.
Na RC yuko na dancers anayetuhumiwa kufanya vurugu hadi kuwavunja mikono. Am not sure km...
mwenye kujuà hata jina LA wimbo huu wa rama d, kwenye chorus anaimba "bila yako we,siwez kufanya chochote, nakupenda nàkuhitaj sana....." mwenye nao naomba nipatiwe
Wadau wa Entertainment, kati ya rappers hawa kutoka Kenya ni nani mkali zaidi? Rappers hawa ni Collo, Khaligraph Jones na Octopizzo. Mimi nawakubali hawa jamaa ila Collo nampa nafasi ya kwanza...
Msanii wa nyimbo za injili aliyeimba wimbo wa Mungu ni Mungu tu ka copy wimbo wa Djassa Djassa.Djassa Djassa ni comedian wa Kongo aliimba wimbo mtu ni mtu tu.
KOKORO- RICH MAVOKO FT DIAMOND , WIMBO BORA WCB WA WAKATI WOTE…HAITA TOKEA.
Habari zenu wandugu wa Jukwaa hili. Leo napenda kushea nanyimaoni yangu atika jukwaa hili juu ya Huyu Kijana Mavoko...
habari wanajamii nianze na kusema kwamba nipo humu ndani ya jamii hii kwa ajili yakutoa msaada leo nimekuja na habari mpya.napenda niwaeleze kuwa kwa mtu yeyote yule ambae ana miliki pc (computer)...
wakuu kuna huu wimbo wa taarabu wenye maneno haya
...duka lako la asali sasa linanuka shombo...ukipewa bia mbili hujiwezi huna nyimbo...
....wanakugombania kama mpira wa kona...
nani aliimba...
Aje aje hapq
kwa wale wapenzi wa series kali za ma drug lords na kali zaidi ya hizo lets share.
1. Narcos Pablo Escobar
2. El shapo
3.Queen of the south
4. Power
5. Scarface
6. City of Lords
7...
Kama kinavyosema kichwa cha habari ivi ni ipi tofauti ya wanahiphop wa Marekani na wanahiphop wa apa Tanzania
Kuanzia
Kiuchumi
Kijamii
Kisiasa
Kimazingira
Kimafanikio
Pamoja na maisha yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.