Hii ni thread maalum kwa wapenzi wa filamu za kiswahili hasa za kitanzania. hapa utapata nafasi ya kujua muvi gani ya kiswahili imeingia sokoni, muvi gani inafanya vizurri.
kila siku utapata...
Naeza sema wewe ni mzuri ila siwezi kusema unauzuri wa kuisimamisha Dunia.Sijui uchawi gani huwa upo kwenye hisia za binaadamu hasa wa kiume tunajisahau sana hasa tunapoingia kwenye ulimwengu wa...
Habarini wadau.
Leo ile movie ya action ijulikanayo kama kingsman 2: the golden circle inazinduliwa huko Marekani na sehemu kadhaa duniani.
Katika part 2 ya hii movie inajikita kuelezea kisa mara...
1. Bi Kidude ( Malkia wa Muziki wa Afrika Mashariki na Kati ) : Huyu ndio mtunzi na muimbaji wa kwanza wa wimbo Yalaiti . Msikilize hapa chini :
2. BI. Malika kutoka...
Wadau,
Kwa yeyote mwenye Gaither gospel series hasa videos na ziwe katika softcopy anisaidie ama aniuzie. Kama zipo kuanzia 50 na kuendelea itakuwa vzr zaidi.
Natanguliza shukrani.
Franco, Michèl Boyibanda, Josky Kiambukuta, possibly Lola Chécain sing. This song was forbidden by the regime (of Mobutu).
piquedard translated (here Below:
You, old man, Lewis!
In life, an...
Bongo fleva inazidi kushika kasi kwa kuwa ushindani unazidi kuongezeka.
Naweza kuwashindanisha kama ifuatayo.
1.Diamond Platnumz vs Ali Kiba
Diamond ni mwanamzuki mwenye mafanikio makubwa...
Amekusanya pesa nyingi sana za watu wenye huruma...anadai anaelekea India kwa matibabu
ile picha ya cannula mkononi inashangaza sana
Bado napata hofu kama kuna daktari wa kihindi atakuwa...
Nimepata kusikia story hii kwa muda mrefu, mwisho leo nimeona mahali pameandikwa kwamba nyoka amgonga mtoto mdogo baada ya wazazi kutaka kumuua nyoka huyo, inasemekana nyoka huyo alikuwa akicheza...
Nimethibitisha kupitia watoto wa shuleni ukipiga nyimbo zake wanazijua.
Pia 90% tuliomo humu tumezaliwa wakati ye kashafariki na tunajua nyimbo zake .....
NB:Good music ..tunasikiliza sana usiku...
Binafsi ni mpenzi sana wa muziki wa dansi. Iwe ni dansi ya Tanzania au nje ya Tanzania. Muziki wa dansi asili yake ni Kongo. Hii inahusisha rhumba(dansi ya taratibu) na pia soukous(au sebene...
Hivii kwa nini Msanii akikosana na CLOUDS MEDIA mara nyingii anaishia kupotea kwenye Game ya muziki hata kama akitoa Nyimbo kalii vip hazisikikii kabisaa na hata watuu hawamfatilii sanaa???? Mfano...
Wimbo wa huyu msanii kuanzia mdundo, sauti hadi mashairi na maudhui yake yamejaa ubunifu wa hali ya juu sana. Kwa kweli amejitahidi sana huyu Dogo kwa utunzi murua.
Mi nikisiliza mahali popote...
Kwanza kabisa naomba jamii forum msiuonganishe huu uzi. Kwa ridhaa yenu. Hata kama uko popote this is a special thread for me.
Muogope sana mtu ambaye ameshikilia ugali wako. Hata kama utakuwa...
Mabibi na Mabwana Aslay baada ya subalkheri leo Hii Aslay ametuletea hii Nyingine Ambayo akiwa amemshirikisha King Kaka Wimbo Unaitwa Makusudi
Bonyeza link hapa ili kusikiliza ama ku download...
NYIMBO SITA KUBWA ALIZOANDIKIWA DAVIDO KWA SIRI
Sio jambo jipya kusiki msanii mkubwa kuwa na Ghost Writes 'Waandishi wa Muziki wa Siri' kwenye kazi zake.
Msanii kama Beyonce alinunua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.