Rk10
JF-Expert Member
- Apr 6, 2015
- 1,216
- 1,375
Je? Nani aliwapa hizo mask?
Je? Hizo mask zimaweza kuimili sumu au kemikali Kali kabisa?
Je? Kama ni kuogopa chemikali ya kupunguza nguvu mbona wengine wameziba midomo tu?
Wameleta ubishoo ndo maana wamefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Je? Hizo mask zimaweza kuimili sumu au kemikali Kali kabisa?
Je? Kama ni kuogopa chemikali ya kupunguza nguvu mbona wengine wameziba midomo tu?
Wameleta ubishoo ndo maana wamefungwa.
Sent using Jamii Forums mobile app