Kuna jamaa walikua wakiitwa Atomic na wengine walikua wakiitwa Wembe...
Hawa jamaa wa Atomic walipiga wimbo mmoja unaitwa "mzee Nanga"... Yeyote mwenye nao huu wimbo pamoja na zingine, za Atomic...
Hawa wadada wamejitahidi sana, humu ndani sauti ya Victoria imetulia sana. Stella Mwangi naye amechana vizuri sana, instrumental imetulia sana na imekaa kibunifu sana, kiufupi kazi ni nzuri sana...
"Nipe nafasi ili niwe mpangaji wa kudumu ndani ya moyo wako, moyo thabiti uliojaa mapenzi sawasawa na yako..Tuishi sote milele Beatrice, tuishi sote milele kama watoto wazuri wapendezao" hicho ni...
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
SIMULIZI;NILIKUPENDA
MTUNZI/MWANDISHI;RAJA SAIDY
WHATSAPP;+255756920739
SMS/CALL;+255621047841
SEHEMU YA KWANZA ( 01 )
Jua na kiza viliambatana mfululizo na kuzifanya siku ziende kwa...
Sikubaliani na wote wanaobeza kile kilichofanywa na Taifa Starz katika mechi ya leo dhidi ya Senegal katika mashindano ya AFCON. Nasema hivyo si kwa kuwa sijui soka bali kwa kuwa kati ya milioni...
Koffi Olomide Amefutiwa matamasha yake Mawili Nchini Afrika Kusini kwa Sababu ya vitendo Vya ubakaji, niseme tu kwamba Papaa Mopao, kiukweli huyu jamaa anastahili sifa zake.
Toka nimeanza...
kwa wale wanaoujua ule wimbo maarufu wa kipindi cha zamani cha RTD Mtu ni afya. Hivi ule wimbo aliimba Mbaraka Mwinshehe au nani? na jina kamili la wimbo ni kipi? ahsante sana
Diamond Platnumz - Kanyaga (Official Music Video)
Diamond Platnumz has dropped his Official Video called "Kanyaga" Welcome to watch and Download Video ...
Jurko Murshid anapokuwa simba huonekana mchezaji wa kawaida sana lakini katika timu ya taifa uganda ni panga pangua je ni simba wanamkosea kumtumia au uganda hawana wachezaji wa kiwango kikubwa...
Wakuu habari zenu?,
Hivi inakuwaje hapa radio ya kwangu mimi ,nimesota nimeianzisha mimi ,nikaweka utaratimu wa kuwa na piga nyimbo tu za wasanii ambao mimi kwa mtazamo wangu naona watanisaidia...
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
Kwa wapenzi wa vitabu vya Ben Mtobwa, kwa mara nyingine napenda kuchukua fursa hii kuvitangaza vitabu vya marehemu Ben Mtobwa kwamba sasa vinapatika hapa jijini Dar es salaam, maeneo ya Posta...
Ukweli ni kwamba mnyonge mnyongeni asilimia zake mpeni...kijana Naseeb Abdul ametikisa muelekeo wa muziki nchini Tanzania kwa muongo mmoja sasa.
Apongezwe kwani ameiweka ramani ya Tanzania...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.