samahani sana wakuu,lenovo tablet inauzwa kwa bei nafuu kabisaa,sifa zake ni hizi
android version 4.4.2
cpu 4 core 1.3GHZ
RAM 1GB
INTERNAL MEMORY 16GB
MODEL NUMBER: LENOVO TAB 2 A7-30H
BEI NI LAKI...
Itakuwa siku ya tarehe 7/10/2018 katika uwanja wa Samora mjini Iringa ambapo wanasiasa nguli Salum Hapi, Kasesela na mchungaji Msigwa wanatarajiwa kuwaongoza wananchi wa mkoa huo katika tamasha la...
Tumekuwa tukishuhudia matangazo mengi ya runinga mbali mbali duniani yakiweka alama ya "live" kuashiria kuwa ni matangazo ya moja kwa moja.Lakini jambo hili limekuwa gum mno kwa Azam TV hasa pale...
Mwanaume mmoja alimuoa mwanamke mrembo. Alikuwa akimpenda sana. Siku moja mwanamke alipatwa na maradhi ya ngozi. Kidogokidogo alianza kupoteza urembo wake.
Mume alipata safari na wakati akirudi...
Mbilia bell akiongoza kwa hits kama Nakei na Nadina, ye Tshala mwana aki-hits kwa Massuwa na Dezo dezo.
Ni kati ya wanamuziki wa kike wa Congo waliowahi kutamba miaka ya 80 mpaka 90 na mpaka...
Kama Inavyojulikana Kwa dunia ya sasa vipaji (talent) imekuwa nguzo muhimi kuwaondoa vijana wengi kweny Lindi la umaskini. Kila mtu ni shuhuda jinsi watu wenye talanta zao wanavyotengeneza pesa...
Major Lazer wameachia wimbo mwingine uitwao “Tied Up” wakimshirikisha staa wa Nigeria, Mr. Eazi pamoja na Raye. Video ya wimbo huu ni ya tatu katika ushirikiano wa Major Lazer na muongozaji wa...
Kuanzia Sultan, njoo Jamai Raja, na zingine kedekede aisee hao wanaotafsiri duuuu wapo vizuri sana.
Kama wangeweza ku act hvyo sambamba na maneno yao kama hayo wanaotafsiri nadhani filamu za...
Naombeni jamani mwenye movie hii ya kikenya inayoitwa "rafiki". Naona imepata promo sana I wish nami niione hivyo mwenye link ya kudownload au njia yoyote naomba.
Asanteni
Hawa jamaa nilianza kuwasikia first kwenye ngoma yao inaitwa carola ila kama sikuwaelewa hivi. Ila hii ngoma yao ya passenger, kwakweli imenibamba, hususan pale mwisho jamaa...
Katika vitu vichache ambavyo mtu huenjoy sana katika nyakati mbalimbali kama wakati wa furaha, mapumziko,huzuni,mawazo na kadhalika; mziki umechukua nafasi kubwa sana katika maisha ya binadamu...
Kuna baadhi ya nyimbo za TOT band ambazo zilikuwa kwenye album yao ya kwanza na ya pili ambazo nimekuwa nikizitafuta kwa muda mrefu sana.Nafikiri ndani ya JF haliharibiki neno na nina imani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.