Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,416
- 18,856
Wakuu habari zenu?,
Hivi inakuwaje hapa radio ya kwangu mimi ,nimesota nimeianzisha mimi ,nikaweka utaratimu wa kuwa na piga nyimbo tu za wasanii ambao mimi kwa mtazamo wangu naona watanisaidia kukuza radio yangu, na pia nakuwa nafanya nao biashara natembea nao mikoani wanaimba nawalipa wananiingizia pesa.
Msanii akisema nampa hela ndogo kulingana na jina lake akataka hela nyingi na wakati mimi naona kabisa hapa napata hasara na temana nae huyu sio mtu wakufanyanae biashara sasa.nikifanya biashara kwa hasara mbona nitafirisika kisa kumlizisha mtu.
Kama unataka hela nyingi basi na mimi sipigi nyimbo zako,kwa sababu naona hauna faida kwangu kwanini unichukie na useme nimekudhurumu na wakati tulikubaliana ukalizika,hakuna mtu ataye kubali kufanya biashara kwa hasara,nikifuria mnicheke nimefuria .
sema kingine mnakuwa mnataka maisha ya juu sana ulichokuwa unapata ndio ulichostahili mbona kama mnaladhimisha hivi na wakati hamna hadhi hiyo.
swala la me kutokupiga nyimbo yako kwenye radio yangu,elewa kwamba hiyo ni redio yangu na mimi na fanya biashara kama umechuja kwa nini niangaike na wewe anatafutwa mwingine anayeweza ,Naendelea kufanya nao biashara .
Sasa kwa mtazamo wa kituo nyimbo yako ni mbovu watu hawaipendi niipige sana yanini sasa watu watakuwa hawaisikilizi hiyo radio yangu kama nitakuwa napiga nyimbo nzuri watu watakuwa wanapenda kuisikiliza na kuifatilia.
Mziki ni biashara mbona wewe unanyotaka kuninyonya mbona me nakataa na wewe kwanini usikatae ukapambana kivyako kama mimi nimeamua kupambana kivyangu yaani nyimbo yako na hadhi yako unasema kubwa umekataa hatuwezi kufanya biashara mbona mimi nimekubalikupambana na hali yangu kwa kutokusika kwa nyimbo zako ambazo unasema ndio bora watu wanataka kuzisikiliza,wewe mbona autakikupambana hali yako? ,umesikia hiyo radio ni ya serikali au ni ya familia yako?
Jiongeze usijenge chuki zisizo kuwa na maana mbona hiyo hela mnayosema ndogo mbona wengine wanafanya maendeleo.
Unatakiwa uelewe kwamba mimi natafuta maisha kama wewe na sio bosi,na hela nyingi haipatikani kila hisi hivyo mnavyo fikilia.
Radio ya kwangu mwenyewe nimeiangaikia mwenyewe halafu wewe unatoka usipojulikana unanipangia hata kama nakuona umefuria kabisa eti nipige nyimbo zako, hakuna kitu kama hicho .
Hata kama nitaweka kwenye kituo changu cha radio ndugu au watu wa kabila langu ,elewa radio ni ya kwangu ikifa nitanyoshewa kidole mimi wewe autausika.
Nisipo piga nyimbo yako kwenye kituo changu cha radio kosa liko wapi? hi hayo tu wakuu
Hivi inakuwaje hapa radio ya kwangu mimi ,nimesota nimeianzisha mimi ,nikaweka utaratimu wa kuwa na piga nyimbo tu za wasanii ambao mimi kwa mtazamo wangu naona watanisaidia kukuza radio yangu, na pia nakuwa nafanya nao biashara natembea nao mikoani wanaimba nawalipa wananiingizia pesa.
Msanii akisema nampa hela ndogo kulingana na jina lake akataka hela nyingi na wakati mimi naona kabisa hapa napata hasara na temana nae huyu sio mtu wakufanyanae biashara sasa.nikifanya biashara kwa hasara mbona nitafirisika kisa kumlizisha mtu.
Kama unataka hela nyingi basi na mimi sipigi nyimbo zako,kwa sababu naona hauna faida kwangu kwanini unichukie na useme nimekudhurumu na wakati tulikubaliana ukalizika,hakuna mtu ataye kubali kufanya biashara kwa hasara,nikifuria mnicheke nimefuria .
sema kingine mnakuwa mnataka maisha ya juu sana ulichokuwa unapata ndio ulichostahili mbona kama mnaladhimisha hivi na wakati hamna hadhi hiyo.
swala la me kutokupiga nyimbo yako kwenye radio yangu,elewa kwamba hiyo ni redio yangu na mimi na fanya biashara kama umechuja kwa nini niangaike na wewe anatafutwa mwingine anayeweza ,Naendelea kufanya nao biashara .
Sasa kwa mtazamo wa kituo nyimbo yako ni mbovu watu hawaipendi niipige sana yanini sasa watu watakuwa hawaisikilizi hiyo radio yangu kama nitakuwa napiga nyimbo nzuri watu watakuwa wanapenda kuisikiliza na kuifatilia.
Mziki ni biashara mbona wewe unanyotaka kuninyonya mbona me nakataa na wewe kwanini usikatae ukapambana kivyako kama mimi nimeamua kupambana kivyangu yaani nyimbo yako na hadhi yako unasema kubwa umekataa hatuwezi kufanya biashara mbona mimi nimekubalikupambana na hali yangu kwa kutokusika kwa nyimbo zako ambazo unasema ndio bora watu wanataka kuzisikiliza,wewe mbona autakikupambana hali yako? ,umesikia hiyo radio ni ya serikali au ni ya familia yako?
Jiongeze usijenge chuki zisizo kuwa na maana mbona hiyo hela mnayosema ndogo mbona wengine wanafanya maendeleo.
Unatakiwa uelewe kwamba mimi natafuta maisha kama wewe na sio bosi,na hela nyingi haipatikani kila hisi hivyo mnavyo fikilia.
Radio ya kwangu mwenyewe nimeiangaikia mwenyewe halafu wewe unatoka usipojulikana unanipangia hata kama nakuona umefuria kabisa eti nipige nyimbo zako, hakuna kitu kama hicho .
Hata kama nitaweka kwenye kituo changu cha radio ndugu au watu wa kabila langu ,elewa radio ni ya kwangu ikifa nitanyoshewa kidole mimi wewe autausika.
Nisipo piga nyimbo yako kwenye kituo changu cha radio kosa liko wapi? hi hayo tu wakuu