Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Special music. For special people. Enjoy.
3 Reactions
5 Replies
979 Views
Mbosso – Maajab Mbosso nyimbo zake zote zinafanana,melody zinafanana na bado aina ya muziki anayofanya sijamuelewa mpaka was leo.Nyimbo hii sielewi wala Mimi si kisiwi inahusu nini haswa.hakuna...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nakuomba usije kwetu mamdogo utatia hasara Uyo mdogo wangu mwenyewe toka atoke shule hajala Aaah bwana eh usinifate bwana We si ukalale uwape mbu faida bwana Hivi aliyekwambia uzime taa humu ndani...
0 Reactions
2 Replies
598 Views
Rest In Peace, Billy Drago. Wahenga wa miaka ya 90's tunamtambua kwa jina 'Carlos'
14 Reactions
90 Replies
9K Views
nimeafungua my channel jana naanza upload vichekesho, nafanya editing before post naomba mkatazame mnipe ushauli nini ni improve https://www.youtube.com/channel/UCN4QnPaEDDrH0Al9UZtYmAw
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Wakuu Habari Ya Uzima, Nina Wazo Moja, Tanzania na Dar es Salaam Hatuna Ukumbi Mkubwa Wa Kufanyia Matamasha Makubwa Hasa Burudani Mbali Mbali Kuchukua Nafasi Ya Leaders Club. . Sasa Wadau wa...
0 Reactions
2 Replies
817 Views
DJ nguli wa zamani hapa mjini DJ EDIE SALLY ambaye alitamba katika miaka ya 70s na 80s akiwa na marehemu CHOGGY SLY amefariki leo asubuhi
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NYEMO CHILONGANI. SHAMBULIO LA DAMU 0718069269. Sehemu ya kwanza. Dunia nzima ilikuwa kimya kwa muda, hakukuwa na mtu aliyeamini kile kilichokuwa kimetokea. Waliokuwa mbali na televisheni...
9 Reactions
79 Replies
15K Views
Hadth zko wap??
0 Reactions
0 Replies
526 Views
Wakuu tusaidiane kutungs nyimbo yenye jina hilo juu. Ikiwa tayari tutanunua beats za nyimbo ya Diamond " The one" Mie naaanza hivi Wacha waseme , wacha waseme wacha wasemeeee. Wapambe...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu kuna movie niliiona miaka ya nyuma kwa kiswahili tulikua tunaiita Jeshi la wafu naomba official name yake wakuu kama kuna anayejua wakuu Ahsante.
0 Reactions
7 Replies
7K Views
WAHENGA TULITESA SANA ENZI ZETU DISCO LA MCHANA (BOOGIE) NA MA-DJ WAKALI!!! Zamani ilikuwa raha sana ambapo jiji la Dsm lilitamalaki disco lililokuwalikianza mchana(Boogie) hadi usiku. Enzi hizo...
6 Reactions
17 Replies
5K Views
wakuu habari zenu!! "niende moja kwa moja kwenye mada husika je ni kipindi gan bora cha michezo?je ni sport extra ,mshikemshike ,unaweza kuongezea
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanabod kwa Mwenye wimbo Wa Nash mc anisaidie unaitwa beti na dirisha dogo LA usajiri
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Leo ni siku ya uhuru wa marekan je kama na ww ni team usa leo tunasherekea uhuru ambao tulio upata kwa nguvu zetu wenyewe kupitia mkuu wa jeshi kipindi icho GEORGE WASHINGTON Je unasherekea ukiwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kati ya malkia leyla rashidi wa jahazi modern taarabu na jokha kassim wa tanzania moto modern taarabu yupi wamkubali?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Yep ni Tambaza. Kwani kuna shule gani tena nyingine inafua dafu?! Come on pipo, let's be honest... Naongelea Tambaza Sec. School. Shule iliyotoa watawala wengi wa nchi hii. Shule iliyokuwa na...
2 Reactions
101 Replies
18K Views
Habari zenu wadau...leo nimeona tujadili kidogo vya nyumbani maana niliona threads moja ikitaja movies zenye sex scenes nyingi na hapo ndipo wakina Spartacus,game of thrones na nyinginezo...
0 Reactions
11 Replies
19K Views
Wimbo: Hisia za moyoni msanii: Songa ft Double mtayarishaji : Double studio : Tamaduni music Muziki mzuri ni ule wenye uwezo wa kuteka hisia za wasikilizaji. Wasanii wachache sana wanaweza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom