geofrey senyagwa
Member
- May 9, 2014
- 57
- 44
hii ni taarabu ya zamani kidogo anaye kumbuka jina"HALUFU MBAYA IMETAWALA MWILINI NAELEkEA SAYARINI WAPO WALIO RUKA KWA UNGO KIMAZINGALA WAUWAJI ''
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
akaroge taifa hukooAtakuwa KIMBUNGA MCHAWI huyo
Ingia playstore download shazan. Piga wimbo wowote weka shazan on itakupa jina la wimbo na sura ya album yake.
Usiombe samaki. Omba kufundishwa kuvua.
Nimekununia mimiSasa anaupiga kutoka wapi wakati na yeye ndio anautafuta?
Shazam ni kwa ajili ya nyimbo za radio station.
Nimekununia mimi
Kwa nini uliniquote ukafuta?!
Asante sana babaa!Nimekuandalia chai uipendayo leo, najua leo umekesha utakuwa umechoka. Sipendi upate shida mamaa.
Asante sana babaa!
Ila nakunywa nikimaliza nanuna!
Kwa nini uliandika ukafuta lakinii... Napenda sana chai ila naumia sana mimi jamani babaaembu sahau hizo mambo sweetie. Kuna chai murua yenye rangi ya dhahabu kama mapenzi yetu kwa ajili yako.
Sipendi kuona ukinuna ujue utafanya siku yangu iwe mbaya.
Kwa nini uliandika ukafuta lakinii... Napenda sana chai ila naumia sana mimi jamani babaa
mnaharibu uzi wa jamaa sio poaKwa nini uliandika ukafuta lakinii... Napenda sana chai ila naumia sana mimi jamani babaa
Nisamehe mkuu!mnaharibu uzi wa jamaa sio poa
ShazamIngia playstore download shazan. Piga wimbo wowote weka shazan on itakupa jina la wimbo na sura ya album yake.
Usiombe samaki. Omba kufundishwa kuvua.
akaroge taifa stars hukooAtakuwa KIMBUNGA MCHAWI huyo
sijui niwafanye nini hawamnaharibu uzi wa jamaa sio poa