Kuna Tangazo linapiga sana wiki hii, Clauds fm, likitangaza Tamasha la Fiesta Musoma na Mwanza
Manzoni wakati nasikiliza hili tangazo la Tigo Fiesta 2018 Musoma na mwanza, niliposikia mtangazaji...
Mambo zenu JF...
Mwenye ako na series au movies za 2017 au 2018 please naomba....na animations pia[emoji7]....
Napenda za horror....mystery...sci-fi...thriller and the like....
Yaani kila sehemu tu unapigwa na nimetoka muda si mrefu Kujisaidia Haja Kubwa katika Choo cha Umma DJ kauweka tena. Sasa sijui baada labda ya Kuona nimeingia Chooni akaamua kuuweka kwa makusudi...
Habariii
Moja ya burudani yangu kubwa ni ubunifu wa watu hasa wachoraji.
Pamoja na kwamba kila mchoraji anaweza kufikisha ujumbe wake kwa namna tofauti lakini ndani yake mimi napata burudani sana...
Artist: Mbaraka Mwinshehe
Song : Shida
(instrumental)
Hakuna kitu kibaya humu duniani kama shida,
haichagui mtu, siku,mwana,mwaka,
Haina katu taarifa, shida huingia,
shida bila hodi, si mtoto...
Siku za hivi karibuni kumeibuka mjadala mkubwa miongoni mwa wanajamii hasa kwa watu wanaojiita "MAKAMANDA" kulaani kitendo cha wana CHADEMA wenzao kuishabikia Yanga huku wakitoa hoja dhahania kuwa...
Habari wana jf.twende kwenye mada husika,baada yakuona watu wengi wanafuatilia filam sijui tamthilia ya sultan ktk app yao,wakaona haitoshi bora kuizima azam 2 ktk app.sasa mtu unajiuliza hivi...
[Intro]
Yeah yeah, I don't wanna be with you, no more
[Verse 1: Salmin Swaggz]
Listen baby I ain't trynna be crazy
Najua unapenda nyumba za masaki na mbezi
Najua unataka vingi kwangu zaidi ya...
RISASI 4
na richard MWAMBE
Joseph Rutashobya anashuhudia mauaji
mabaya ya wazazi wake, hali hiyo inamwacha
yatima, anaishi maisha ya tabu mpaka
anakuwa mtu mzima.
Sasa Joseph Rutashobya 'JORU'...
Habari ,.
Nafahamu wengi wetu tunafuatilia kipindi cha mwanadada Diva kinachorushwa na Clouds Fm,.
Kuna wimbo huwa unasikika katika background wakati wa tangazo la kipindi chake hasa wakati wa...
Natumai mu wazima
Wangapi tunafatilia hii season ya naagin kuanzia season 1,2 mpaka sasa tupo season 3
Binafsi naipenda sana hii drama,ambayo inaonyeshwa kila jumamosi na jumapili 8pm...