Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa...
Yep ni Tambaza. Kwani kuna shule gani tena nyingine inafua dafu?! Come on pipo, let's be honest...
Naongelea Tambaza Sec. School. Shule iliyotoa watawala wengi wa nchi hii. Shule iliyokuwa na...
Habari zenu wadau...leo nimeona tujadili kidogo vya nyumbani maana niliona threads moja ikitaja movies zenye sex scenes nyingi na hapo ndipo wakina Spartacus,game of thrones na nyinginezo...
Wimbo: Hisia za moyoni
msanii: Songa ft Double
mtayarishaji : Double
studio : Tamaduni music
Muziki mzuri ni ule wenye uwezo wa kuteka hisia za wasikilizaji. Wasanii wachache sana wanaweza...
Meneja wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Hamisi Taletale kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema, yupo tayari kujenga ukumbi wa starehe hata kesho kama Serikali ya Tanzania itamruhusu...
Oyooooo...!
Moderators please Niko chini ya miguu yenu naomba msiunganishe huu uzi na ule mwingine.
Haya hayaa wale wenzangu na mimi wa mitaa ya Seoul (Seoul ya JF usiogope), ile siku iliyokuwa...
Wahenga wenzangu kipindi cha nyuma kulikua na dawa ya kikohoo iliyokuwa inaitwa MKOJO WA PUNDA,Hivi KWELI ile dawa ilitenenezwa kwa mkojo wa punda au zunga..?
Movie ishatoka jana na iko YouTube tayari.nawapongeza Sana bongohoodz pichaz wanatoa movie Kali sana.wahuni wakubwa niliikubali Sana na hii ya siku za arosto kweli one kacheza inavyotakiwa...
Historia huwa inajirudia:
Mechi ya kwanza:
Nigeria 2 Taifa Stars 1
Mechi ya pili:
Misri 2 Taifa Stars 1
Mechi ya Tatu:
Ivory Coast 0 Taifa Stars 0
Pia tukumbuke kipindi hiko ndio tuliwahi kuwa...
Wadau kuna wimbo nautafuta sana, ni wa zamani kiasi na bahati mbaya sijui unaitwaje lakini kuna kipande kama sio chorus ina maneno “tulia wangu mpenzi tulia, tulia nami nipate tulia...”. Mwenye...
Habari za mda huu..bila kupoteza muda,nimekuwa mdau mkubwa wa makala za huyu gwiji wa habari za michezo kwenye magazeti na mitandao,yupo vizuri,yupo kisasa zaidi,he is very smart...
Huwa napatwa...
Huo ndio ukweli!!!
Siku tukiacha siasa kwenye maendeleo ya mpira wa miguu tanzania ndipo labda tutaweza kupambana na senegal angalau,...hakuna tajiri mwenye pesa zake atakua wazi kuwekeza pesa...
MUZIKI NA UCHAMBUZI
Wimbo: Kesho yetu
Msanii: one the incredible
Albamu: Soga za mzawa
Mtayarishaji: texas
Studio: mlab ( tamaduni music)
Muziki unaowakilisha utamaduni wa hip hop , umekuwa...
mimi simuelewi kabisa anachoimba, hv nyie mnajiita team diamond na wote mnaompenda,huyu ndugu anaimba nini?
mimi simuelewi kabisa nilikua fan wake mkubwa lakini kwasasa naona kama anacheza...