Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Wadau wa mziki hapa nchini kuna wanamziki wengi vilevile na wasanii kibao ambao ndo wengi zaidi. Kiboko yaoni kundi linaitwa WAMWIDUKA BAND wanamziki wa tanzania wasiojua mziki wakasome kwa hawa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kati ya malkia leyla rashidi wa jahazi modern taarabu na jokha kassim wa tanzania moto modern taarabu yupi wamkubali?
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Yep ni Tambaza. Kwani kuna shule gani tena nyingine inafua dafu?! Come on pipo, let's be honest... Naongelea Tambaza Sec. School. Shule iliyotoa watawala wengi wa nchi hii. Shule iliyokuwa na...
2 Reactions
101 Replies
18K Views
Habari zenu wadau...leo nimeona tujadili kidogo vya nyumbani maana niliona threads moja ikitaja movies zenye sex scenes nyingi na hapo ndipo wakina Spartacus,game of thrones na nyinginezo...
0 Reactions
11 Replies
19K Views
Wimbo: Hisia za moyoni msanii: Songa ft Double mtayarishaji : Double studio : Tamaduni music Muziki mzuri ni ule wenye uwezo wa kuteka hisia za wasikilizaji. Wasanii wachache sana wanaweza...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Meneja wa lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), Hamisi Taletale kupitia ukurasa wake wa Instagram amesema, yupo tayari kujenga ukumbi wa starehe hata kesho kama Serikali ya Tanzania itamruhusu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Oyooooo...! Moderators please Niko chini ya miguu yenu naomba msiunganishe huu uzi na ule mwingine. Haya hayaa wale wenzangu na mimi wa mitaa ya Seoul (Seoul ya JF usiogope), ile siku iliyokuwa...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Wahenga wenzangu kipindi cha nyuma kulikua na dawa ya kikohoo iliyokuwa inaitwa MKOJO WA PUNDA,Hivi KWELI ile dawa ilitenenezwa kwa mkojo wa punda au zunga..?
1 Reactions
7 Replies
9K Views
Habari wandugu, radio yangu inaishia 90MHz. Nafanyaje niweze kusililiza stations kama choice FM ambazo ni 102.5? Asanteni in advance,
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mwenye Movie ya kozopata ya Wastara na Sajuki anitumie link yake.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Movie ishatoka jana na iko YouTube tayari.nawapongeza Sana bongohoodz pichaz wanatoa movie Kali sana.wahuni wakubwa niliikubali Sana na hii ya siku za arosto kweli one kacheza inavyotakiwa...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
Historia huwa inajirudia: Mechi ya kwanza: Nigeria 2 Taifa Stars 1 Mechi ya pili: Misri 2 Taifa Stars 1 Mechi ya Tatu: Ivory Coast 0 Taifa Stars 0 Pia tukumbuke kipindi hiko ndio tuliwahi kuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nimeutafuta Sana YouTube hakuna version nzuri. Mwenye nao tafadhari
0 Reactions
0 Replies
1K Views
o_Oo_Oo_O
0 Reactions
2 Replies
876 Views
Wadau kuna wimbo nautafuta sana, ni wa zamani kiasi na bahati mbaya sijui unaitwaje lakini kuna kipande kama sio chorus ina maneno “tulia wangu mpenzi tulia, tulia nami nipate tulia...”. Mwenye...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari za mda huu..bila kupoteza muda,nimekuwa mdau mkubwa wa makala za huyu gwiji wa habari za michezo kwenye magazeti na mitandao,yupo vizuri,yupo kisasa zaidi,he is very smart... Huwa napatwa...
1 Reactions
36 Replies
6K Views
Huo ndio ukweli!!! Siku tukiacha siasa kwenye maendeleo ya mpira wa miguu tanzania ndipo labda tutaweza kupambana na senegal angalau,...hakuna tajiri mwenye pesa zake atakua wazi kuwekeza pesa...
0 Reactions
1 Replies
902 Views
MUZIKI NA UCHAMBUZI Wimbo: Kesho yetu Msanii: one the incredible Albamu: Soga za mzawa Mtayarishaji: texas Studio: mlab ( tamaduni music) Muziki unaowakilisha utamaduni wa hip hop , umekuwa...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
mimi simuelewi kabisa anachoimba, hv nyie mnajiita team diamond na wote mnaompenda,huyu ndugu anaimba nini? mimi simuelewi kabisa nilikua fan wake mkubwa lakini kwasasa naona kama anacheza...
5 Reactions
54 Replies
6K Views
Hii mutu naikubali sana,hii mutu ya watu kabisa na ni mutu ya mupira
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…