DIAMOND: Kanyaga! Kanyaga! Masela kanyaga

DIAMOND: Kanyaga! Kanyaga! Masela kanyaga

comrade_kipepe

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2019
Posts
8,350
Reaction score
16,948
mimi simuelewi kabisa anachoimba, hv nyie mnajiita team diamond na wote mnaompenda,huyu ndugu anaimba nini?

mimi simuelewi kabisa nilikua fan wake mkubwa lakini kwasasa naona kama anacheza manyanga kama mganga wa kienyeji..

nyimbo hazieleweki.

5
 
Mkuu kwa kukusaidia tu kwanza tafta aina za nyimbo

Mimi natambuwa kuwa kunaaina nyingi sana za nyimbo na kati ya hizo ni zile za:-
- ufurahisha (kanyaga)
- kuelimisha (starehe yake feruuz)
- kuhuzunisha (machozi kafia geto)
na nyingine nyingi

Kwahiyo ili uwaze namna bora ya kutoa maoni katika wimbo fulani unapaswa kwanza ujue huyu alikua anataka kuimba wimbo wa aina gani.
 
Sawa
Mkuu kwa kukusaidia tu kwanza tafta aina za nyimbo

Mimi natambuwa kuwa kunaaina nyingi sana za nyimbo na kati ya hizo ni zile za:-
- ufurahisha (kanyaga)
- kuelimisha (starehe yake feruuz)
- kuhuzunisha (machozi kafia geto)
na nyingine nyingi

Kwahiyo ili uwaze namna bora ya kutoa maoni katika wimbo fulani unapaswa kwanza ujue huyu alikua anataka kuimba wimbo wa aina gani.
 
mimi simuelewi kabisa anachoimba, hv nyie mnajiita team diamond na wote mnaompenda,huyu ndugu anaimba nini?

mimi simuelewi kabisa nilikua fan wake mkubwa lakini kwasasa naona kama anacheza manyanga kama mganga wa kienyeji..

nyimbo hazieleweki.

5
Me huu wimbo sijataka hata kuusikiliza kwa zaidi ya dk 1
Maana ameimba upumbavu mtupu.
 
Siyo kila kitu anachofanya mtu kipendwe na kila mtu, hata wew unavitu vyako unavyofanyaga lkn si kila mtu wako anavipenda. Acha watu wafanye vitu wanavyopenda life is too short to impress everyone.
 
Mkuu kwa kukusaidia tu kwanza tafta aina za nyimbo

Mimi natambuwa kuwa kunaaina nyingi sana za nyimbo na kati ya hizo ni zile za:-
- ufurahisha (kanyaga)
- kuelimisha (starehe yake feruuz)
- kuhuzunisha (machozi kafia geto)
na nyingine nyingi

Kwahiyo ili uwaze namna bora ya kutoa maoni katika wimbo fulani unapaswa kwanza ujue huyu alikua anataka kuimba wimbo wa aina gani.
Kama unaamini kanyaga ni kifurahisho ukapimwe akili wewe.
 
Ana tabia ya u snitch Kanyaga

Ma EX kanyaga


N Nuski kanyaga!! LOL
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom