Sheikh23
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 1,128
- 1,842
Habari za mda huu..bila kupoteza muda,nimekuwa mdau mkubwa wa makala za huyu gwiji wa habari za michezo kwenye magazeti na mitandao,yupo vizuri,yupo kisasa zaidi,he is very smart...
Huwa napatwa na maswali sana kwani mara kwa mara huzuru ughaibuni,mara belgium,holland,france,swis,spain n.k
Ni kazi/ofisi inamtuma kututafutia habari za sports au ndio utoto wa mjini na ile biashara nyeti? Zingatia kuwa sina wivu nae...Watoto wa mjini karibuni mtupe maujanja ili nasisi wa Kolomije tutoe tongotongoView attachment 1095078
Huwa napatwa na maswali sana kwani mara kwa mara huzuru ughaibuni,mara belgium,holland,france,swis,spain n.k
Ni kazi/ofisi inamtuma kututafutia habari za sports au ndio utoto wa mjini na ile biashara nyeti? Zingatia kuwa sina wivu nae...Watoto wa mjini karibuni mtupe maujanja ili nasisi wa Kolomije tutoe tongotongoView attachment 1095078