mandevuclassic
Member
- Nov 23, 2013
- 82
- 121
Wahenga wenzangu kipindi cha nyuma kulikua na dawa ya kikohoo iliyokuwa inaitwa MKOJO WA PUNDA,Hivi KWELI ile dawa ilitenenezwa kwa mkojo wa punda au zunga..?
Hahaha we jamaa unapenda sana bangi comments zako nyingi lazima uitajeSiku ukiacha kuvuta bange utajibiwa endelea kuvuta kwanza tukukute milembe
Hahaha we jamaa unapenda sana bangi comments zako nyingi lazima uitaje