Shalom watu wa Mungu!
Natafuta wimbo wa Rev.Cosmas Chidumule uitwao Hossana kwa mwenye nao naomba aniwekee hapa nikiusikia redion huqa unanibariki sana lakini nimetafuta ulbum zake madukani...
MSICHANA mwenyewe nilikuwa simfahamu. Tulikutana tu kwenye harusi ya rafiki yangu, akaniambia ananifahamu.
Msichana alikwenda mbali zaidi, akaniambia niliwahi kuwa mpenzi wake kisha nikamtoroka...
Una sifa zote za kuwa mtangazaji na nakukubali sana ila umezidi Kumpenda mno Koffi Olomide. Sikutalii kwamba Koffi yupo vizuri ila sidhani kama kweli amefikia uwezo wa Kuwazidi Wapinzani wake...
Kwa wale wasomjua/wanomjua John Wick mwigizaji maarufu wa muvi kutoka marekani kwa sasa yupo Jiji la kitalii, Geneva of Africa( according to Bill Clinton) Arusha, Tanzania.
Na kesho anaelekea...
#ETrending Kundi la muziki la @navykenzoofficial likiwa kwenye maandalizi ya kuachia kazi mpya hivi karibuni. Habari za chini ya carpet ni kuwa kundi hilo la muziki limesitisha kufanya kazi na...
Baada ya 24 Legacy kuwa cancelled, wadau wakawa wanaitupia macho PB ambayo tangu kutoka kwa Season 5, hapakuwa na taarifa yoyote ikiwa pangekuwa na Season 6 au ingekuwa cancelled. Kwa muda mrefu...
Wakuu bila shaka mu wazima wa afya
Leo nataka muwajue kundi LA westlife na record kubwa waliyonayo kwenye muziki.
Westlife ni kundi LA muziki wa pop vocal kutoka Ireland liliundwa huko sligo...
Jamani natafuta wimbo ya Sam wa Ukweli mwezi wa pili siipati inaitwa maisha ni kupanda na kushuka kiitikio chake "hawakujua maisha ni kupanda nakushuka
"hawakujua pesa...
Ni manjonzi kwetu sisi wapenda haki ulijitahi kwa uwezo wako wote kadiri Mungu alivyokujalia tulipenda Sana kuendelea kua na wewe kwenye mapambano kamanda wangu umetutoka katikati ya kilima...
Ladies and Gents wapenzi na ma fanz wa Prison Break and Michael Scolfied, on April PrisonBreak Season 6 is out..!
Wentworth Miller as Mike scolfied ali announce kwenye page yake ya Fb mwezi mmoja...
Habari wanajukwaa, Kumekuwa na mjadala wa muda mrefu Kati ya FIFA na PES ni lipi gemu Bora kushinda lingine. Ningependa niulete mjadala huu kwenu wanajamii forum tujadiri hapa Kati ya FIFA na PES...
Inauma sana kwa hawa ndugu zetu maana baadhi ya ndugu wamekuwa wakipoteza maisha kwa ajili ya unazi wa hii club. Ivi Edwoord ward anaelewa kweli au kusikia haya. Wadau wa michezo mnaonaje mwenendo...
BINAMU YANGU-01
ROBIN MIHO
0776741545
Ni saa tatu usiku mvua ya wastani ilikuwa ikinyesha taratibu huku upepo ukivuma hapa na pale,nilifumbua macho kivivu na kugundua ya kwamba nilikuwa...
Ukiacha namna ya kutafuta series kupitia index/serial au torrent namna nyingine ya kupata tv series? maana nimekuwa nikitafuta tv series kwa kutumia google search index/serial au sometime episodes...