Kuna Msanii anajiita Mwijaku amekuwa anaonekana sana Instagram, vipi mbona toka itokee skendo ya Menina ya kusambaa kwa picha za utupu haonekani? Nini kimemsibu Msanii Mwijaku?
Habari,
Kama heading inavyosema, naombeni kuujua huu wimbo ameuimba nani. Wimbo umeimbwa kwa lafudhi ya Kisukuma, wanaimba: "Kimone mwana masanja ntakununulia cheni gold hutaweka vyombo kwenye...
I remember I called mama
on the telephone,
I told mama am getting married
I could hear her voice on the other side
Of the telephone she was smiling....
And she asked me a question
That I...
[Verse 1]
What I fit do to get your love
Girl I don give you all I got but it’s not enough for you
Shey u fire me catapult of love
Na why be say I no fit get enough of you
[Hook/Chorus]
Wetin...
Msanii maarufu Harmonize leo amehojiwa na binafsi jamaa inaonesha amekua kimuziki maana ametema madini hatare pasipo kuonesha chuki kwa upande wowote ule, hata pale alipokulia kimuziki (WCB)...
Licha ya harmonize kujitoa katika label kubwa ya mziki nchini Tanzania WCB lakin bado nguri wa mziki Tanzania Diamond anaendelea kupiga pesa kupitia kondeboy kwani hata youtube channel bado...
“Harmonize ana nguo ameshanunua kwa gharama ya Tsh. Milioni 6-7 na zipo zimekaaa kabatini, kitu ambacho mimi katika maisha yangu yote sijawahi kukifanya na wala ujinga huo kwanza sina”
Hayo sio...
Ed Sheeran__Shape of you
Ed Sheeran__Perfect
Ed Sheeran__Thinking out loud
Ed Sheeran__Photograph
Ed Sheeran__How would you feel
Ed Sheeran ft Khalid_Beutiful people
Ed Sheeran__Give me...
Na:
Mdharuba J.K.
*SEHEMU YA KWANZA*
★★★★★★★★★★★★★★★★★
“Nashindwa kuelewa kwa nini nakupenda kiasi hiki Jay, nahisi kuchanganyikiwa juu ya penzi lako my” Jacqueline alisema maneno haya huku...
Kuna albamu na nyimbo nyingi sana za kikatoliki, lakini kati ya zote, hakuna albamu ninayo ikubali kama albamu hii iliyotoka mwanzoni mwa miaka ya tisini yenye jina MIMI...
Marehemu Hemed Maneti alirekodi kibao hiki jijini Nairobi mwaka 1981 akishirikiana na mwanamuziki Mtanzania aliyekuwa na makao yake katika jiji hilo wakati huo, marehemu Charles Ray Kasembe...
Mtunzi Juma Hiza 01
ILIKUWA ni siku ya Desemba 23, tena siku mbili tu kabla ya Christmas, dunia nzima ilijawa na shamrashamra za Sikukuu hiyo ya kuzaliwa kwa Yesu Kristo, maduka mengi jijini Dar...
Shalom watu wa Mungu!
Natafuta wimbo wa Rev.Cosmas Chidumule uitwao Hossana kwa mwenye nao naomba aniwekee hapa nikiusikia redion huqa unanibariki sana lakini nimetafuta ulbum zake madukani...