dogoodesign
Member
- Oct 21, 2019
- 41
- 21
Licha ya harmonize kujitoa katika label kubwa ya mziki nchini Tanzania WCB lakin bado nguri wa mziki Tanzania Diamond anaendelea kupiga pesa kupitia kondeboy kwani hata youtube channel bado inamilikiwa na wasafi na harmonize hawezi fanya lolote ..