Saoka
JF-Expert Member
- Oct 23, 2018
- 468
- 682
Msanii maarufu Harmonize leo amehojiwa na binafsi jamaa inaonesha amekua kimuziki maana ametema madini hatare pasipo kuonesha chuki kwa upande wowote ule, hata pale alipokulia kimuziki (WCB).
Harmonize amesisitiza kuishi peace na watu ndiyo rai yake. Pia, ameeleza kutakwa kulipa milioni 500 za kuvunja mkataba wake na WCB, ilibidi auze mpaka nyumba ambazo alikuwa anajenga kama 3 hivi.
Kiukweli, binafsi nimependa msimamo wake msanii Harmonize.
Big up brother, huo ndiyo muziki sasa!
Harmonize amesisitiza kuishi peace na watu ndiyo rai yake. Pia, ameeleza kutakwa kulipa milioni 500 za kuvunja mkataba wake na WCB, ilibidi auze mpaka nyumba ambazo alikuwa anajenga kama 3 hivi.
Kiukweli, binafsi nimependa msimamo wake msanii Harmonize.
Big up brother, huo ndiyo muziki sasa!