Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Clouds hawajawahi kubahatisha Tigo Fiesta DSM kufanyika Uwanja wa Taifa tarehe 8. Kiingilio ni sh. 3000 na getini 5000, hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa. Ukikosa shauri yako Clouds FM...
9 Reactions
318 Replies
31K Views
Huyu jamaa naweza kusema ni Roma wa Kenya, siku 3 viewers 1.3M kwa mwana hiphop haijatokea hapa Afrika Mashariki. Tumezoea kuona pigo hili kwa kina Mondi na Kiba wasanii ambao wanaimba. Ni msanii...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
HAPO kale, akaanza Waziri Mkuu, paliondokea mkulima mmoja tajiri aliyekuwa na kundi la wanyma wa kila namna na aliyejaaliwa kujua lugha zao. Hakuna aliyejua siri hiyo kwani ali￾yemfundisha...
4 Reactions
28 Replies
6K Views
Tukumbushane kidogo. Kibao hiki cha Uswahilini Matola(Kosa la marehemu) kiwafikie mabaharia wote,hasa wale wa kula tunda kumasihara, punguzeni speed,upepo ni mkali,mtaangusha magari. Punguzeni...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
Nimekua mshabiki wa rumba kwa muda mrefu,nilipenda nyimbo za Congo hasa zile za zamani kidogo kuliko za sasa.Hawa magwiji wawili ndio walinivutia kuipenda rumba,nina album nzima ya madilu system...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
HIS Instagram feed is a littered with snaps of exotic holidays on private jets, custom-made sports cars and watches worth more than £350,000. But despite being worth £35million and living a life...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
Hawa jamaa niliwahafamu mwaka 2018 kupitia movie yao Kali mno inayoitwa #tatuchafu Nikaangalia nyingine inaitwa #Fisiweusi[emoji2][emoji2][emoji2] Nikazidi kuwakubali,nikaingia YouTube nikakuta...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi wanajamii. Kuna mambo mengi sana ya kuiga hapa duniani lakini kuna mengine siyo ya kuiga kabisa kama jambo ambalo amefanya Mr Blue kuvaa mavazi ya kinazi kwenye video ya music...
7 Reactions
98 Replies
12K Views
Simaro Massiya Lutumba Ndomanueno aliongoza Bendi ya TP Ok Jazz baada ya Franco Luambo Makiadi kufariki 1989 na baadae kuwa na bendi yake ya Bana OK 1991. Amefariki Paris Ufaransa alipo kuwa...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Ni moja ya makundi ya muziki ambayo mi hupenda sikiliza hasa weekend. Mara Jumapili kama hii nasikiliza nyimbo za utulivu sana zikiwemo Country, Jazz na Rhumba. Sielewi maana ya nyimbo za TP Ok...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Ukiangalia timu hizi hapo zimekua za kawaida sana zinafungika kiraisi sana na timu ndogo hazina wachezaji classy zipo zipo tu
0 Reactions
2 Replies
842 Views
Mambo vipi wana JF Mimi kwa sasa naishi kwenye jimbo la marekani linaloitwa West Virginia na nimetokea kuwa na marafiki ambao wanapenda kwenda outdoors adventures or hiking kwenye water falls...
0 Reactions
3 Replies
815 Views
Kati ya KENDRICK LAMAR na DRAKE unamkubali nani zaidi katika Hip Hop?
0 Reactions
8 Replies
2K Views
WASANII WA BONGO HARMONIZE NA VANESSA KATIKA DILEMMA KUBWA. Mambo vipi wanajamii, Kuna choice nyingi sana mtu waweza kufanya pasipo pata wasiwasi wowote juu ya maamuzi yako, Lakini kuna mara...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Niliangalia shindano la kusaka vipaji la bongo star search jana nikagundua kwamba limekuwa sio shindano la kusaka vipaji tena bali ni shindano la kusaka watu wanaotia huruma na watu wanaopendwa na...
3 Reactions
31 Replies
4K Views
Katika kukua kwangu,ujana na mpaka Sasa Kuna baadhi ya nyimbo hazijawahi kuchuja katika kuzipenda na kuzisikiliza.kwa upande wa bongo fleva napenda mno za zamani kuliko za sasa.kwa upande Zouk...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bhanamhala mhu le mhola hene? Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu. Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na...
6 Reactions
29 Replies
9K Views
Nchi zilizo msitari wa mbele katika Ukombozi Kusini mwa Afrika zimetendewa mambo mengi maovu na Utawala dhalimu wa Makaburu... Hata hivyo halikupata kutokea tishio zito la kutisha kama hili...
7 Reactions
393 Replies
144K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…