Bongohoodz pichaz[emoji119]

2018

JF-Expert Member
Jan 1, 2018
546
778
Hawa jamaa niliwahafamu mwaka 2018 kupitia movie yao Kali mno inayoitwa #tatuchafu

Nikaangalia nyingine inaitwa #Fisiweusi

Nikazidi kuwakubali,nikaingia YouTube nikakuta Movie zao nyingine,zote Kali mnoo

Hawa jamaa Movie zao Ni za tofauti Sanaa,tofauti kabisa na wabongo wote,
Hawa jamaa Ni Ma geneus kwa kweli nadhani labda kwakua Ni Ma hip hop

Movies zao zipo Kama Saba ivi ila hazichoshi kuangalia hata urudie Mara kumi

Zinahitaji utulivu na ufuatiaji mkubwa kuweza kuenjoy kilichomo
#WahuniWakubwa
#Mchepuko
#SikuZaAlosto
#TuzoFilm
#FisiWeusi
#BongoNaFlava
#TatuChafu


2018
 
Hawa jamaa niliwahafamu mwaka 2018 kupitia movie yao Kali mno inayoitwa #tatuchafu

Nikaangalia nyingine inaitwa #Fisiweusi

Nikazidi kuwakubali,nikaingia YouTube nikakuta Movie zao nyingine,zote Kali mnoo

Hawa jamaa Movie zao Ni za tofauti Sanaa,tofauti kabisa na wabongo wote,
Hawa jamaa Ni Ma geneus kwa kweli nadhani labda kwakua Ni Ma hip hop

Movies zao zipo Kama Saba ivi ila hazichoshi kuangalia hata urudie Mara kumi

Zinahitaji utulivu na ufuatiaji mkubwa kuweza kuenjoy kilichomo
#WahuniWakubwa
#Mchepuko
#SikuZaAlosto
#TuzoFilm
#FisiWeusi
#BongoNaFlava
#TatuChafu


2018
#Msala wa bekitatu


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom