Uzi wa kushare nyimbo za Kisukuma

Terace

Member
Jun 13, 2017
75
98
Bhanamhala mhu le mhola hene?

Uzi huu mahususi wa kushare ama kushirikishana nyimbo zozote za kisukuma ili kudumisha mila na tamaduni zetu.

Kwa sababu wasukuma tunasifika kwa kuwa wapole na wakarimu. basi uzi huu unaruhusu pia makabila mengine kuweka nyimbo zilizoimbwa kwa lugha zao ili tuweze kudumisha tamaduni za makabila yetu.

Siyo ajabu wengi wetu tunajua kuimba nyimbo za kigeni na tusiweze kuimba hata wimbo mmoja wa kabila lako.

Usiweke nyimbo zilizoimbwa kwa Kiswahili, ama kwa lugha yeyote isiyokuwa ya kabila linalopatikana hapa Tanzania mfano Kiingereza, Kifaransa n.k

Karibuni.

Note; Na mimi nazikusanya ili niweze kushare pia...
 
Back
Top Bottom