Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

HAKUNA ALIYE SALAMA  Mtunzi: Robert Heriel 0693322300 Chungu cha 01 Kinu alikuwa ameketi kwenye wheelchair, akitingisha kichwa chake kwa taratibu, udenda ukimtoka mdomoni. Macho yake yalikuwa...
10 Reactions
48 Replies
11K Views
Kwa midundo ya hip hop, Kati ya Lamar na Marco Chali. Yuli ni hatari zaidi??
0 Reactions
4 Replies
290 Views
1. The Blacklist 2. Dexter 3. Castle 4. Bones 5. White Collar 6. The Killing 7. Better Call Saul 8. Justified 9. True Detective 10. S.W.A.T 11. Body of Proof 12. The Wire 13. Luther 14. Criminal...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ina maana Azama mmekosa kabisa movie za maana zinazosisimua, zinazoburudisha na kuelimisha? Fahari haieleweki kichwa na mkia viko wapi, hakuna connection and continuity naona tu wahusika...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Ni rahisi kuziita common confused terminologies ambapo wapo wanaojua tofauti kati yao na huzichanganya kimazoea lakini wapo wanaotumia dhana hizi kwa kuzichanganya pasipo kujua tofauti zao. Hawa...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Namaanisha gereji ambayo Ray c aliitolea Video ya wimbo wake wa Sogea sogea. Moja kati ya video bora kwangu ya muda wote. https://youtu.be/Y-syuomKwdk?si=3aZ6f8Zi5JjWAXrG
0 Reactions
0 Replies
238 Views
wakuu habari ninahitaji katuni ya kirikuu (swahili version) kwa ajili ya watoto hawajawahi kuiona na wameniomba niwaletee. Tafadhali kama kuna mwenye kunisaidia niipate nitashukuru.
3 Reactions
7 Replies
3K Views
Simulizi; NITAMLEA Mtunzi; Robert Heriel +225693322300 Taikon Publisher Presents Chungu 01. “Kosa lake nini mpaka nimuue mtoto huyu asiye na hatia? Sitaki kuingia kwenye majuto ya kukitoa...
2 Reactions
30 Replies
6K Views
ILIKUWA ni asubuhi chungu kuliko zote nilizopata kuamka. Nilitetemeka na mwili wote ulifukuta kwa maumivu yasiyomithilika, jasho halikuwa mbali namni. Nilihisi utumbo ukijinyongorota ndani kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Malcolm-Jamal Warner, muigizaji maarufu wa Marekani aliyeng’ara kupitia kipindi cha "The Cosby Show," amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 54, Taarifa zinasema Warner alifariki kwa kuzama majini...
0 Reactions
3 Replies
692 Views
Hii n list ya movie za kihindi kwa mtazamo wangu naona ndio Bora kwa muda wote Bollywood hasa kwenye love story kama hutaielewa list yangu unaweza taja na zako zilizo kubamba kwangu movie Bora...
4 Reactions
105 Replies
16K Views
Tujikumbushe movie za Kihindi zilizotubamba enzi hizo. Aishwarya Rai, she is called the most beautiful woman in the world WADAU WENGINE WANAOHITAJI KUFAHAMISHWA FILAMU HIZI Habari ya weekend...
2 Reactions
454 Replies
178K Views
Kama nilivyowahi kusema Singeli ni art ya vinanda ..hebu cheki watoto walivyoua hapa.
0 Reactions
4 Replies
264 Views
Wadau wa mobile and pc flight games natumaini mkoa poa. Nataka kufahamu kutoka kwenu ni flight games zipi kwako ni bora .tupeane uzoefu. Kwangu mimi kuna 1. Realflight simulator 2. Airline...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Ahitaji kumix sebene na gospo au kuvaa kama muimba singeli, ila muziki flani tulivu wenye ubunifu bil kukimbia nadharia nzima ya uzima https://youtu.be/gtVvOnjovEs?si=c1KaQ_JVY1XQbppI
1 Reactions
3 Replies
382 Views
Salam wakuu, Katika mziki unaonipa comfort na peace of mind ni mziki aina ya riddim au sweet reggae. Ngoma kama comfort zone ya busy signal, wakali wakina morgan heritage, tittus riley, etc hua...
10 Reactions
128 Replies
17K Views
CHAPTER 1 ILIKUWA ni asubuhi tulivu, anga lilifunikwa na mawingu mepesi baada ya wiki nzima ya mvua za vuli . Angalau sasa wakazi wa mji waliweza kutoka majumbani mwao kwenda makazini na maeneo...
3 Reactions
20 Replies
35K Views
https://youtu.be/coIjlWAzRxs?list=RDvhuiaZpvbn0
0 Reactions
0 Replies
128 Views
Kiukweli ukiangalia wale waandishi wa habari unaona kama sasa industry ya habari nchini imevamiwa, moja wanaonyesha hasira za wazi baada ya dogo pateni kuonyesha wazi kujali privacy zake. Jinsi...
10 Reactions
77 Replies
3K Views
Hii ni simulizi ya kijana Musa, kijana ambaye ametafuta kazi kwa miaka mingi bila kupata, katika matembezi yake, Musa anakutana na Bibi ambaye anamshauri aende kuombewa katika kanisa, anakwenda...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom