Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii...
2 Reactions
41 Replies
2K Views
Wakuu kati ya ngoma nazopenda kusikiliza sana mojawapo ni ya Rado kiraka-Usiulize, producer alifanya kitu roho inapenda sana. Nick Dizzle apewe maua yake Wallah, 2008 hiyo. Zipo nyingi ila hii...
1 Reactions
4 Replies
375 Views
GUY RITCHIE'S THE COVENANT (2023) _____________ ▪️ Genre: War, Action, Drama ▪️ Date: April 20, 2023 ▪️ Rate: 7.5/10 IMDb ▪️ Time: 2h 3m ▪️ Director: Guy Ritchie ▪️ Main characters: Jake...
0 Reactions
2 Replies
287 Views
Salaam/Shalom...! https://youtu.be/aURJp25qtdg?si=0--FAtawwgNmjrnd
0 Reactions
6 Replies
502 Views
Hakikisha wikendi hii unapata muda wa kutizama hili TAMBARA. #DjeXii #BestmMovies #MoviesUpdate
1 Reactions
8 Replies
643 Views
Mtunzi.Patrick CK Season 1.SIRI Simu.0764294499 Ndege ya shirika la ndege la Tanzania ilitua katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini jamhuri ya...
14 Reactions
1K Replies
533K Views
Habari wakuu, Kwa members wenzagu wa 90 's n below nadhani tunaweza kumbushana baadhi ya TV series zilizotamba sana enzi hzo ambazo ikifika mida hiyo familia nzima either nyumbani au kwa kuzamia...
2 Reactions
62 Replies
12K Views
wakuu habari,nahitaji kujua site nayoweza kupakua muvie za hollywood,kihindi,kichina nk hata kwa kulipia. kuna moja huwa naisikia "Netflix"vp ipoje,ina udhaifu gan?
1 Reactions
31 Replies
2K Views
Kwa wale wapenzi wa drama hii sio ya kukosa. Mi nilivyoanza kuiangalia mwanzoni niliona kama inaniboa ila nilivyoendelea sikutamani iishe aise. Kuna drama za kufa mtu, kila mtu anam'play'...
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Sikujua kama series ya power waliamua kutoa Muendelezo wa Power kama series inayojitegemea lakini based on the same story. Jana nikakutana nayo mtandaoni nikaishusha, aisee ni bonge la kitu. Tariq...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama ni mfuatiliaji wa series za mablack america basi lazima utakuwa unaifaham series ya power ambayo ilifanya vizuri sana kwenye soko la filam kutokana na stori yake ilivyo na uhusika wa...
2 Reactions
6 Replies
656 Views
THE TOMORROW WAR (2021) _______ Genre: Sci-Fi, Action, Thriller Duration: 138 minutes Rating: 6.6/10 (IMDb) Origin: USA Director: Chris McKay _______ SHORT STORY BEHIND Ujumbe wa dharua...
0 Reactions
1 Replies
353 Views
Nyimbo zipi za kiswahili ulizipenda kati ya mwaka 2000 na 2010. Share tukumbushane kumbukumbu za ujanani. “Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi” Fid Q - Ni hayo tu (Ft. Langa & Prof Jay)...
7 Reactions
81 Replies
2K Views
Sio kwa ubaya. Yaani mida hii ni mawe juu ya mawe. Sio poa.
0 Reactions
0 Replies
260 Views
Naomba kupatiwa jina la wimbo huu wa tangazo la salama condoms. Ilikuwa ni miaka ya 2004-2005..kuna mwanaume na mwanamke wapo ndani sebuleni wanajiandaa kufanya mapenzi, mwanaume akakumbuka kitu...
3 Reactions
6 Replies
716 Views
https://www.instagram.com/p/DGslSQOCtAr/
0 Reactions
0 Replies
169 Views
𝙒𝙄𝙈𝘽𝙊 : Centieme dossier 𝙈𝙒𝙄𝙈𝘽𝘼𝙅𝙄 : FALLY IPUPA 𝙏𝘼𝙁𝙎𝙄𝙍𝙄 : SULE MKANDARASI "𝙅𝙚 𝙠𝙪𝙢𝙥𝙖𝙩𝙖 𝙢𝙬𝙚𝙣𝙯𝙖 𝙨𝙖𝙝𝙞𝙝𝙞 𝙬𝙖 𝙠𝙪𝙞𝙨𝙝𝙞 𝙣𝙖𝙮𝙚 𝙣𝙞 𝙗𝙖𝙝𝙖𝙩𝙞 𝙖𝙢𝙖 𝙟𝙞𝙩𝙖𝙝𝙖𝙙𝙖 𝙯𝙖 𝙢𝙩𝙪?? 𝙅𝙞𝙗𝙪 𝙗𝙖𝙠𝙞 𝙣𝙖𝙡𝙤. 𝙄𝙡𝙖 𝙠𝙬𝙚𝙣𝙮𝙚 𝙝𝙞𝙠𝙞 𝙠𝙞𝙗𝙖𝙤...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Mziki wa JAZZ mimi kwangu nilianza kuupenda kipindi cha miaka ya 90 katika king’amuzi cha DSTV kulikuwa na upande redio zilizokuwa zikiwa na mtiliiko wa JAZZ. Mziki wa jazz ni aina ya muziki...
0 Reactions
4 Replies
403 Views
Daydream, I fell asleep amid the flowers For a couple of hours on a beautiful day Daydream, I dreamed of you amid the flowers For a couple of hours, such a beautiful day! I dreamed of the places...
0 Reactions
0 Replies
261 Views
Back
Top Bottom