Hivi karibuni Mh. Kabudi aliliambia Taifa kuwa muziki wa Singeli ndiyo utakuwa muziki wa kulitambulisha Taifa. Watu tulibaki midomo wazi kwa kushangaa kuwa ni Singeli gani hiyo! Je ni Singeli hii...
Wakuu kati ya ngoma nazopenda kusikiliza sana mojawapo ni ya Rado kiraka-Usiulize, producer alifanya kitu roho inapenda sana.
Nick Dizzle apewe maua yake Wallah, 2008 hiyo.
Zipo nyingi ila hii...
GUY RITCHIE'S THE COVENANT (2023)
_____________
▪️ Genre: War, Action, Drama
▪️ Date: April 20, 2023
▪️ Rate: 7.5/10 IMDb
▪️ Time: 2h 3m
▪️ Director: Guy Ritchie
▪️ Main characters:
Jake...
Mtunzi.Patrick CK
Season 1.SIRI
Simu.0764294499
Ndege ya shirika la ndege la Tanzania ilitua katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere jijini Dar es salaam ikitokea nchini jamhuri ya...
Habari wakuu,
Kwa members wenzagu wa 90 's n below nadhani tunaweza kumbushana baadhi ya TV series zilizotamba sana enzi hzo ambazo ikifika mida hiyo familia nzima either nyumbani au kwa kuzamia...
wakuu habari,nahitaji kujua site nayoweza kupakua muvie za hollywood,kihindi,kichina nk hata kwa kulipia.
kuna moja huwa naisikia "Netflix"vp ipoje,ina udhaifu gan?
Kwa wale wapenzi wa drama hii sio ya kukosa.
Mi nilivyoanza kuiangalia mwanzoni niliona kama
inaniboa ila nilivyoendelea sikutamani iishe aise.
Kuna drama za kufa mtu, kila mtu anam'play'...
Sikujua kama series ya power waliamua kutoa Muendelezo wa Power kama series inayojitegemea lakini based on the same story. Jana nikakutana nayo mtandaoni nikaishusha, aisee ni bonge la kitu. Tariq...
Kama ni mfuatiliaji wa series za mablack america basi lazima utakuwa unaifaham series ya power ambayo ilifanya vizuri sana kwenye soko la filam kutokana na stori yake ilivyo na uhusika wa...
THE TOMORROW WAR (2021)
_______
Genre: Sci-Fi, Action, Thriller
Duration: 138 minutes
Rating: 6.6/10 (IMDb)
Origin: USA
Director: Chris McKay
_______
SHORT STORY BEHIND
Ujumbe wa dharua...
Nyimbo zipi za kiswahili ulizipenda kati ya mwaka 2000 na 2010. Share tukumbushane kumbukumbu za ujanani.
“Nikanyage bahati mbaya nikulipue makusudi”
Fid Q - Ni hayo tu (Ft. Langa & Prof Jay)...
Naomba kupatiwa jina la wimbo huu wa tangazo la salama condoms. Ilikuwa ni miaka ya 2004-2005..kuna mwanaume na mwanamke wapo ndani sebuleni wanajiandaa kufanya mapenzi, mwanaume akakumbuka kitu...
Mziki wa JAZZ mimi kwangu nilianza kuupenda kipindi cha miaka ya 90 katika king’amuzi cha DSTV kulikuwa na upande redio zilizokuwa zikiwa na mtiliiko wa JAZZ.
Mziki wa jazz ni aina ya muziki...
Daydream, I fell asleep amid the flowers
For a couple of hours on a beautiful day
Daydream, I dreamed of you amid the flowers
For a couple of hours, such a beautiful day!
I dreamed of the places...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.