Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Mwaka 2010 uliingia kwenye vitabu vya historia ya Bongo Fleva kama moja ya miaka ya kipekee kupitia shindano la Bongo Star Search (BSS). Ndani ya jukwaa hilo maarufu la kusaka vipaji, alijitokeza...
0 Reactions
3 Replies
632 Views
Habari zenu wanajamvi wenzangu! Shimmy wenu niko hapa. Leo, nataka tuingie kwenye safari kidogo. Hebu nikuulize kitu, shemeji. Umeshawahi kumpenda mtu kiasi kwamba unajua fika huyu ndiye wako...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna wakati roho yako inahitaji zaidi ya maneno – inahitaji wimbo. Wimbo unaogusa nafsi, unaobeba uzima, unaoinua moyo wako kutoka uchovu wa maisha hadi kwenye faraja ya kiroho. Kama unapenda...
1 Reactions
3 Replies
682 Views
Baadhi ya nyimbo zinakuwa zina capture moments...yaani nyakati Fulani hivi ...na mood ya Taifa au ya walio Wengi wakati huo... 1. Nipe Tano - Daz nundaz.. Huu Wimbo unawakilisha nyakati ..kama...
15 Reactions
95 Replies
5K Views
NI KIPI SIASA IMETUAHIDI? KIFO, UKOMBOZI AU MAPINDUZI? KUWA SEHEMU YA HISTORIA YA UHURU WA MAPINDUZI YA KISIASA. KARATA YA MAUAJI ✅ Kwenye ulimwengu wa kibebari dunia haina ukoloni tena wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kwenye wimbo "Demokrasia ya Mapenzi" nasikia sauti ya Bichuka na kina Moshi William. Ni kweli Bichuka alishawahi kuitumikia Msondo?
1 Reactions
3 Replies
293 Views
Imekuwa ni tabia ya DSTV kupandisha gharama zao kila kukicha. Juzijuzi kama mtu ulilipia compact ilitakiwa kulipa Tshs.60,000 leo hii malipo ya compact ni Tshs.67,000. Hawa watu wanatuona...
6 Reactions
20 Replies
1K Views
Muandaaji wa matamasha mtanzania au mrundi anaeishi Canada PCK adai miezi ijayo Chris atafanya show kwa Mkapa na tayari ashaongea na management yake na kukubaliana kila kitu venue itakuwa LAKI na...
1 Reactions
14 Replies
848 Views
Wana jamvi leo nawaletea stori ya maisha niliyopitia, harakati za maisha, mapenzi, uonevu fitina na uchawi vyote utavipata hapa, ni true stori, lakini majini ya vijiji na watu nitabadilsha kwa...
24 Reactions
2K Replies
389K Views
Freedom or jail, clips inserted A baby's bein' born same time a man is murdered The beginning and end, so far as rap goes It's only natural, I explain my plateau And also what defines my name...
1 Reactions
4 Replies
664 Views
Mwk 1977 nyimbo 7 *Selemani *Sakina *Aziza *Dada nalia *Dawa ya mapenzi *Azimio la Arusha *Benk ya biashara Mwk 1978 nyimbo 6 *Mwana acha wizi: Mabera *Mpenzi Zalina: Bitchuka *Ccm: Mwanyiro...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Jina langu ni Juma. Miaka mitatu iliyopita, nilikuwa kivuli cha mwanadamu – niliishi mitaani, nilitegemea bangi, heroini, na kila aina ya dawa ya kulevya kupumua. Nilikuwa nimepotea. Nilikuwa...
7 Reactions
3 Replies
776 Views
JF huwa ni moja ya sehemu zangu za kujiburudisha hususani kwa ‘ID’ hii. Kwa kuwa nimepata muda kidogo wa kuandika na tarehe ya leo ni kumbukumbu yangu ya siku ya kuzaliwa, nimeona nianze kuwaletea...
40 Reactions
402 Replies
98K Views
Mimi sio mambo yangu sana haya, ila hii kombolela wanajitahidi sana, Imeweka familia yangu watoto na wife muda wa jioni wanajumuika pamoja Angalau sahivi hela zangu za kulipia kifurushi haziendi...
6 Reactions
56 Replies
2K Views
Habari wakuu Mwenye link ya movie ya salo 120 days of Sodom au kunielekeza wapi kwa kuipata ninaitafta sn anijuze please
0 Reactions
4 Replies
687 Views
UJASUSI, UPELELEZI NA MAPIGANO 1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA...4000 2. I WANT TO DIE JUDGE...4000 3. GEREZA LA HAZWA...5000 4. INNOCENT KILLER (THE REVENGE)/ MUUAJI ASIYE NA HATIA...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
HAKUNA ALIYE SALAMA  Mtunzi: Robert Heriel 0693322300 Chungu cha 01 Kinu alikuwa ameketi kwenye wheelchair, akitingisha kichwa chake kwa taratibu, udenda ukimtoka mdomoni. Macho yake yalikuwa...
10 Reactions
48 Replies
11K Views
Kwa midundo ya hip hop, Kati ya Lamar na Marco Chali. Yuli ni hatari zaidi??
0 Reactions
4 Replies
290 Views
1. The Blacklist 2. Dexter 3. Castle 4. Bones 5. White Collar 6. The Killing 7. Better Call Saul 8. Justified 9. True Detective 10. S.W.A.T 11. Body of Proof 12. The Wire 13. Luther 14. Criminal...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ina maana Azama mmekosa kabisa movie za maana zinazosisimua, zinazoburudisha na kuelimisha? Fahari haieleweki kichwa na mkia viko wapi, hakuna connection and continuity naona tu wahusika...
0 Reactions
0 Replies
345 Views
Back
Top Bottom