[Hook - The Cataracs]
[x2]
I bet you think cause you saw me on the TV
That you know my whole life story
Let me tell you something you might not know
Forget what you're talking bout, chick I get...
Nyota ndo ilikuwa inaanza kuwaka. Mara No Reform No Reaction mara Gwajimanization. Mara Iran vs Israel.
Dogo ana post programs zake kiroho safi, watu wana comment No reform no Reaction.
Halafu...
RIWAYA: URITHI WA GAIDI.
NA; BAHATI MWAMBA.
SIMU: 0758573660
Vitabu vilivyopita.
• Kikosi cha pili
• Dakika za mwisho
• Mpango wa Congo
• Mbwa wa geti
• Operesheni jicho...
Msanii wa Bongo fleva @chino_kidd7 baada ya kuona ujumbe alioushea Msanii @iam_mziwanda akiwataka baadhi ya Wasanii wenzake kuweza kumsaidia wapate wimbo wa pamoja ili arudi kwenye game.
Chino...
Rating: 8.8/10
Did not expect this to slap as hard as it did. 🔥
I went in thinking, “Okay, cool, another Predator project... but animated?” Yeah—turns out that was the best thing they could’ve...
EST Gee ft Lil Baby & Travis Scott - Houstonatlantaville Mp3 Download
The song "Houstonatlantaville" is an incredible addition to any Playlist. It serves as EST Gee's latest single for the year...
Wadau wa Korean Drama kwasasa ni tovuti gani zimebaki ambazo unaweza pakua bure.
Tovuti ambayo inakuwa na high quality.
Nkiri iweke kando Kwanza ina low quality na Drama nyingi hakuna
My Top 5 list ya Movies of All Time ambazo baadhi sio Common Zenye ;
1. Akili nyingi
2. Haziko Predictable
3. Zina Action Zenye quality nzuri (sio kama za kihindi😂)
4. Visa na matukio ya...
Tbt kali nazikubali mpaka kesho
Duly - salome
Tundaman - nipe ripot
Feruzi - starehee
Bushoke - barua, kila mtu na mapungufu yake
husein machozi - msara
Ladyjaydee - machozi
Kikuku cha mama...
Yule mwamba wa kusema " Tupac alikuwa kapandwa na kiumbe wa kiroho ( spirit) wakati ana yupo studio ana rekodi wimbo " Hit Em Up" , tayari ameachia kitabu chake chenye CHAPTERS 77 na kurasa 220 ...
Leo tujikumbushe kidogo album ya mwanamuziki wa Kikongo Noel Ngiama Makanda maarufu kwa jina la Werrason iliyotoka mwaka 2001. Mpaka leo hii mi nazisikiliza sana bolingo kiukweli hazichoshi na...
Muvi hii ni ya kiswahili niliiangalia muda mrefu sio bongo muvi ni zile muvi nadhani zinafadhiliwa na wahisani.nakumbuka sehemu chache sana kwenye hiyo muvi.kuna watoto wawili wa kike na wa kiume...
𝐌𝐭𝐮𝐧𝐳𝐢: Saul David Bril 0756862047
__________________
Sehemu ya kwanza...
UTANGULIZI
Sikujua kama mwanzo wa mapenzi ni mwisho wa amani yangu. Kila kitu kilibadilika siku ambayo nilimwona kwa mara...
Msichana mdogo mwenye tabia kama za kiume anafanya jambo la kushangaza baada ya kutaka kujiunga na jeshi ili haweze kuikoa nchi yake dhidi ya maadui hatari wa kichawi.
Shida kubwa mdada huyo nj...
Wimbo wa 'My Heart Will Go On' ni kati ya nyimbo zilizompa umaarufu mkubwa na kumuongezea utajiri Celine Dion, kupitia wimbo huo aliouimba akiwa na umri wa Miaka 29 wakati huo ulikuwa ‘soundtrack’...
MAPENZI NA KISASI
Riwaya ya Kiswahili
Mandhari: Dar es Salaam na Kigoma
Wahusika Wakuu:
Juma: Kijana maskini lakini mwenye ndoto kubwa, anayetumia roho yake safi na juhudi kumpata mpenzi wake...
Yaani nyimbo inaitwa back to my roots
Humu kuna mpiga ngoma alijipanga sana yaani ana dunda unasikilizia moyoni
Yaani zile ngoma na gitaa balaa,
Hebuu vaa earphone afu sikiliza twatwaaaa twaa...
Afrika haitawahi kupata wasanii watakaovunja rekodi ya Wafalme wa Rumba rika la akina Frankoo, Madilu System, Papa Wemba, Sam Magwana na wengineyo
Ni ngumu kuvunja rekodi ya Frankoo huyu alikuwa...
Mara kadhaa nimekutana nao ila ukiwa vipande vipande kupitia TBC.Baadhi ya mashahiri ambayo hata sielewi wanamaanisha nini,wanaimba"jiwe jiwe jiwe lanichoma choma...nikimkumbuka Mama jiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.