[Chorus – Phyno]
Chineke Nna emegokwa nwa ogbenye Ezege
Everyday by day I just dey celebrate oh (eh)
Everything I do e just dey penetrate oh
I just want to say o thank you Jehovah oh
See I'm...
SURA YA KWANZA
MLANGO WA TANO
MIAKA MITATU BAADAE
TSS HQ-DAR ES SALAAM
Nchi ilikuwa imetulia na kurejea katika hali yake ya utulivu kama ilivyokabidhiwa na waasisi wa taifa...
Karibuni sana wapenzi wa simulizi, Leo naitambulisha kwenu simulizi hii iitwayo "MWACHENI AISHI." Ndani ya simulizi hii utakutana na visa, mikasa na matukio ya maisha kwa ujumla, vimbwenga...
SURA YA KWANZA: DAMU YA UFALME
Mimi ni Triza, binti wa saba wa Mfalme Himza wa Peru. Katika kasri letu kubwa lenye kuta nene za dhahabu na mawe mazito, mimi na dada zangu tumeishi maisha ya hofu...
GOLDEN BOY
SEHEMU YA 1
MWANDishi NI JAXWIZZY
What'sapp no 0793538082
Jua lilikuwa linatua kwa upole, likipaka anga la Istanbul kwa rangi ya dhahabu na machungwa. Bahari ya Marmara iling'aa...
Mtunzi: Washawasha
Ilikuwa ni jumamosi moja tulivu,nikiwa nimetulia mjengoni naangalia match ya man utd ambayo nayo alipigwa na kuzidi kutuchanganya sisi mashabiki wake wa kuvuta kwa manati...
Wakati Dr. Dre anapelekewa Eminem ili amsaini, alimshangaa, hakuwa akiamini kama Mzungu huyo angeweza kuchana kama watu weusi lakini alipomsikiliza, sasa akawa na uhakika alimpata mwamba, mtu...
Salamu wakuu kwenye jukwaa la burudani.
Maisha ya mwanadamu ni mafupi, hivyo hata kama hatuna kipato kikubwa hatuna budi kujitafutia furaha sisi wenyewe maana muda hausimami na umri unaenda. Si...
Mtunzi Prince Oscar.
"We Doreen," mama aliniita kwa sauti ya ukali. Sikutegemea kumkuta yuko macho muda huo japokuwa alikuwa chumbani kwake. Ilikuwa saa nne usiku. Kwa kawaida mama ikishafika...
MOVIE ITAKAYO KUTOA MACHOZI MWAKA 2025
Movie Kali yenye historia ya kweli ndani yake baharini Kuna Tisha sana kijana aliyekufa na kukufuka baada ya kushindwa kujiokoa kazini 👇🏾...
Tangu udogoni ndie alikua rapa wangu pendwa kabisa karibu nyimbo zake zote nilikua nazijua kama si kuziimba
Siku Moja nakumbuka nilisevu hela kidogo kidogo nilizokua napewa za shule nikaweza...
Hadithi: MAJARIBU
Mtunzi:Mwaki Ze Done (0653814440)
UTANGULIZI: Ni hadithi inayomzungumzia kijana mdogo wa kuitwa majaribu. Wakati akijaribu kuyakimbia matatizo yake akakutana na majaribu...
Scott baada kukosea kumuua mtu ambaye asiyenahatia alikasirika na kuamua kuachana na Ujambazi ila kilichomkuta hakutamani Tena kuishi Nchini marekani.
Movie kamili 👇 👇 👇
https://youtu.be/WItzfpp8ysE
Hi! once again fellas, mimi ndiye yule mwandishi wa simulizi za kijasusi kama ULIMWENGU WA WATU WABAYA, I WANT TO DIE JUDGE, GEREZA LA HAZWA, NYARAKA NAMBA 72, JIJI LA KAMARI, NAFSI ZILIZO...
Yafutayo ni Mashair ya muda mrefu yanayoishi Hadi sasa.;
Babylon System
Lyrics
We refuse to be
What you wanted us to be
We are what we are
That's the way it's going to be, if you don't know
You...
Nnapo flow
Kama slow motion
Ni -soo utadhani abortion
Natokea Lake Victoria
Flow zaidi ya Indian Ocean
Na-make Hit Songs
Bila msaada wa Promotion
Huku na-spit Mother Tongue
Maiki nai-grab kama...
Lyrics
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania Tanzania
Nakupenda kwa moyo wote.
Tanzania...
Je, umewahi kushuhudia au kusikia kuwa Bamedi kaolewa?
Leo nimeona niwashuhudie habari hii niliyopitia, ambapo kwa dhamiri yangu toka moyoni nilikusudia kumuoa binti mmoja ambaye ni bamedi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.