Mshumaa_Tz
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 681
- 2,500
Nyie wasanii mnaofanya muziki mzuri, endeleeni hivyo hivyo.
Hapa Bongo kuna mashabiki wanyimbo za matusi, na mashabiki wa muziki mzuri.
Kwakua sasa hivi watu wanapenda muimbe kusifu ngono na pombe tu, msiwasikilize watu wachache walionyimwa hekima.
Tuko pamoja, tutawasapoti tu.
Muziki hauna mwenyewe Cheed, Killy, Zuchu, Mario, Bright, Kiba. Endeleeni kuimba muziki mzuri.
Muziki mzuri ndo tiba ya nchi kama hii ya kwanza kutoka chini kwa umasikini.
Hapa Bongo kuna mashabiki wanyimbo za matusi, na mashabiki wa muziki mzuri.
Kwakua sasa hivi watu wanapenda muimbe kusifu ngono na pombe tu, msiwasikilize watu wachache walionyimwa hekima.
Tuko pamoja, tutawasapoti tu.
Muziki hauna mwenyewe Cheed, Killy, Zuchu, Mario, Bright, Kiba. Endeleeni kuimba muziki mzuri.
Muziki mzuri ndo tiba ya nchi kama hii ya kwanza kutoka chini kwa umasikini.