Kitu gani ambacho kinakwamisha Album za Tanzania kushindwa kufanya vizuri sokoni

hassandilunga

Senior Member
Mar 17, 2020
146
149
Hivi ni kitu gani ambacho kinakwamisha Album za Tanzania kushindwa kufanya vizuri sokoni. kama zikifanikiwa kidogo sio WorldWide.

Juzi tu African Giant ya Burna Boy imefikisha Streams Million 200 kwenye Spotify.

Tunafahamu Album ya Star Boy Wizkid inayoitwa Sound From The Other Side ya mwaka 2017 ilifanikiwa zaidi kuliko album yoyote kutokea Afrika.

Ikiwa na Nyimbo 12 tu.
Kabla ya hapo Album mbili za Wiz Kid yani Superstar na Ayo zilifanya vizuri kwenye Streaming...

Na Amemaliza kupika Album ya Made In Lagos. Ambayo kuna tetesi kwamba Album imejaa majina makubwa ya kimataifa.

Wapi wanafeli wasanii wa Tanzania na East Africa kwa ujumla...

Charts za Bilboard data nyingi na vigezo huwa vinatoka kwenye streams za Spotify.

Unafikili wapi wasanii wetu wanafeli...

Forgive Me...
 
English.

Mond akiimba English JEJE wabongo kapotea uyo Mond wa enzi zilebana za Nimpate wapi.

Burna akiimbi No Body hakuna tatizo kwao.
 
Muzik wetu bado haujafika kwenye viwango vikubwa.Kilichokua ni nguvu ya Vyombo vya habari kwa maana ya mitandao na vingine ila sio muzik au wasanii wenyewe.Sasa hilo linapelekea msanii akishatoa nyimbo moja ikahit anajiona kashamaliza anatoa album alafu unakuta kwenye hiyo ulbum nyimbo nzuri ni moja zingine zilizobaki chenga tu sasa unafikiri nani atakayeangaika na hiyo albam.Wenzetu wanafika mbali kwasababu vile anavyotrend kwenye media ndivyo hivyo hivyo anavyokua kwenye jamii yake inayomzunguka kwahiyo inakua rahisi jamii kumbeba nakumfikisha mbali kitu ambacho ni tofauti na uku kwetu.Sasa kinachotokea kwetu unakuta media zinaangaika kukuza jina la msanii nakuacha mziki wake nyuma mwisho wa siku tunajikuta tuna msanii mwenye jina kubwa alafu mziki mdogo.
 
Muzik wetu bado haujafika kwenye viwango vikubwa.Kilichokua ni nguvu ya Vyombo vya habari kwa maana ya mitandao na vingine ila sio muzik au wasanii wenyewe.Sasa hilo linapelekea msanii akishatoa nyimbo moja ikahit anajiona kashamaliza anatoa album alafu unakuta kwenye hiyo ulbum nyimbo nzuri ni moja zingine zilizobaki chenga tu sasa unafikiri nani atakayeangaika na hiyo albam.Wenzetu wanafika mbali kwasababu vile anavyotrend kwenye media ndivyo hivyo hivyo anavyokua kwenye jamii yake inayomzunguka kwahiyo inakua rahisi jamii kumbeba nakumfikisha mbali kitu ambacho ni tofauti na uku kwetu.Sasa kinachotokea kwetu unakuta media zinaangaika kukuza jina la msanii nakuacha mziki wake nyuma mwisho wa siku tunajikuta tuna msanii mwenye jina kubwa alafu mziki mdogo.
Umemaliza kila kitu.
 
Ahsante sana kwa mada nzuri,niliitamani sana hii mada,nashukuru imekuja kwa wakati wake.

Kwanza kabisa inapaswa tuwapongeze wasanii wetu kwa kile wanachokifanya,japo yawezekana ni kidogo lakini hatuna budi kuwapongeza sana,
Pili,Jambo la wasanii wetu kufanya vizuri huko nje si kiswahili kama wengi wanavyodhani,kuna ngoma kali sana za wasanii wetu walizoimba kiswahili ukilinganisha na ngoma za hao jamaa wa West.

Hebu tuangalie maeneo kadhaa yanaweza kuwa sababu kubwa naza msingi

1.KUFAHAMIKA
Sasa hapa ni kwa nyanja zote,Ukiongelea Nigeria kimataifa bila shaka unaizungumzia Afrika,hawa jamaa walianza kufahamika tangu zamani kuanzia kwenye mafuta,Soka,Movies n.k,Hii ni fact tosha kwamba dunia ilianza kuwafuatilia tangu zamani na wao walishajijengea umaarufu huo Afrika nzima,nani asiyeifahamu Nigeria kwenye Movies zao zilizotikisa Afrika nzima na sehemu kadhaa za dunia?,Nani asiye ifahamu Nigeria kupitia mpira huku ikitikisa soka la kimataifa na ikitoa wachezaji wengi kwenda kucheza kimataifa?,Hivyo Nigeria ilikuwa maarufu toka zamani na ndo maana hata linapokuja suala la Muziki wanamuziki wa mataifa mengi ya Ulaya na Magharibi huwa wakiitazama Afrika wanaitazama Nigeria,nyie ni mashahidi tu juzi hapa baada ya Marekani kuingia kwenye mzozo na Iran,mwanamuziki kama Card B na Lil wayne licha ya kusema wanadamu za Nigeria walitaka kukimbilia Nigeria endapo mambo yangeenda ndivyo sivyo huko Kwao,Unataka kusema Nigeria is better than South Africa?,unataka kusema Nigeria is better than Egypt?,jibu ni hapana but wenzetu taifa lao lilishakuwa maarufu kupitia mambo niliyoyataja pamoja na culture yao.
Sasa hapa Bongo bado tunahaso kuitangaza Tanzania kwanza ijulikane ili wasanii wetu wapate popularity huko nje,na ndo maana msanii kama diamondplatnumz leo akitoa ngoma utasikia mataifa mengine yanasema "HE IS NIGERIAN" kumbe ndivyo sivyo.
Hivyo nadhani Jambo hapo ni kufahamika kwa nchi husika,nyie ni mashahidi Tanzania haijulikani kihivyo,angalia dunia ilifahamu kwamba Serengeti ipo kenya,Mlima kilimanjaro upo kenya,japo angalau sasa hivi tunaona serikali inafanya juhudi za kuitangaza nchi kimataifa,Hakuna asiyefahamu ya kwamba kujulikana kwa nchi husika ndo kutapelekea pia watu kuweza kufatilia utamaduni wa nchi husika ikiwemo muziki.

2.LUGHA

Hii pia inaweza ikawa ni sababu japo sidhani kama ina ukubwa huo,labda kwenye biashara ya muziki na wala si muziki wenyewe,kwa mimi ninavyoelewa muziki ni UNIVERSAL LANGUAGE kwa maana kwamba hata kama uelewi kinachoimbwa basi utaupenda muziki ikiwa ni mzuri,miaka ya nyuma tuliiipenda sana miziki ya kizungu(mamtoni)japo kuwa hatukuelewa walichokiimba,kwa wale wapenzi wa muziki wa kihindi(Nachi) walizipenda Nachi hata kama hawakuelewa kilichoimbwa,kilimata hapo ni muziki mzuri.
Hivyo Lugha inaweza kuchangia kwa kiasi fulani japo si kwa kiasi kikubwa.

3.PLATFORM ZA MAUZO

Kiukweli hapa nadhani wasanii wetu wa Tanzania siyo kwamba walikuwa hawapendi hizi platform ila kwa nchi yetu ya Tanzania hizo platform nyingi hazikuwepo ukilinganisha na huko Nigeria,Kwa mfano sidhani kama Tanzania ipo SPOTIFY,TIDAL,AMAZON n.k ila kwa huku kwetu tuliitumia sana YOUTUBE na ndo maana ukitaka kuangalia hakuna msanii kutoka huko Nigeria anayefua dafu kwa msanii wetu pendwa Bwana Diamondplatnumz kuanzia Subscribers na hata kwa ujumuisho wa watazamaji(Views)kwenye content zake za YouTube,Hivyo huku kwetu YouTube ina nguvu sana kulinganisha na huko Nigeria,na ndo maana sasa hivi tuna Audio mack pamoja na Boomplay ambapo wasanii wetu wameanza kuweka nyimbo huko.

4.IDADI YA MASHABIKI

Ukiangalia Nigeria nadhani ndilo Taifa lenye watu wengi Afrika kama sijakosea,basi ikiwa sivyo litakuwa la pili baada ya Misri,Huu mtaji wa mashabiki umechangia kwa kiasi kikubwa kupush ngoma zao kimataifa,ukiangalia pia Nigerians kwenye mataifa mengine ya Magharibi wapo wengi sana,Pia hawa jamaa wanaushirikiano sana kuringanisha na sisi.
Sasa ukichukua idadi ya watu waliopo hapa Afrika mashariki sidhani kama utaifikia ya Nigeria,pia japo tupo kama Afrika mashariki ambapo ilipaswa tupushiane lakini ni kinyume,leo ukienda Uganda ni nadra sana kusikia ngoma za Bongo kule,japo naona sikuhizi kidogo tunapenya penya,Ukienda kenya pia waliweka kama ka uzibe kuchezwa ngoma za bongo huko,hivyo wasanii wetu wanapaswa kupongezwa kwa jitihada binafsi,naamini ipo siku tutafika tu.



Ni hayo tu

Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
 
Ahsante sana kwa mada nzuri,niliitamani sana hii mada,nashukuru imekuja kwa wakati wake.

Kwanza kabisa inapaswa tuwapongeze wasanii wetu kwa kile wanachokifanya,japo yawezekana ni kidogo lakini hatuna budi kuwapongeza sana,
Pili,Jambo la wasanii wetu kufanya vizuri huko nje si kiswahili kama wengi wanavyodhani,kuna ngoma kali sana za wasanii wetu walizoimba kiswahili ukilinganisha na ngoma za hao jamaa wa West.

Hebu tuangalie maeneo kadhaa yanaweza kuwa sababu kubwa naza msingi

1.KUFAHAMIKA
Sasa hapa ni kwa nyanja zote,Ukiongelea Nigeria kimataifa bila shaka unaizungumzia Afrika,hawa jamaa walianza kufahamika tangu zamani kuanzia kwenye mafuta,Soka,Movies n.k,Hii ni fact tosha kwamba dunia ilianza kuwafuatilia tangu zamani na wao walishajijengea umaarufu huo Afrika nzima,nani asiyeifahamu Nigeria kwenye Movies zao zilizotikisa Afrika nzima na sehemu kadhaa za dunia?,Nani asiye ifahamu Nigeria kupitia mpira huku ikitikisa soka la kimataifa na ikitoa wachezaji wengi kwenda kucheza kimataifa?,Hivyo Nigeria ilikuwa maarufu toka zamani na ndo maana hata linapokuja suala la Muziki wanamuziki wa mataifa mengi ya Ulaya na Magharibi huwa wakiitazama Afrika wanaitazama Nigeria,nyie ni mashahidi tu juzi hapa baada ya Marekani kuingia kwenye mzozo na Iran,mwanamuziki kama Card B na Lil wayne licha ya kusema wanadamu za Nigeria walitaka kukimbilia Nigeria endapo mambo yangeenda ndivyo sivyo huko Kwao,Unataka kusema Nigeria is better than South Africa?,unataka kusema Nigeria is better than Egypt?,jibu ni hapana but wenzetu taifa lao lilishakuwa maarufu kupitia mambo niliyoyataja pamoja na culture yao.
Sasa hapa Bongo bado tunahaso kuitangaza Tanzania kwanza ijulikane ili wasanii wetu wapate popularity huko nje,na ndo maana msanii kama diamondplatnumz leo akitoa ngoma utasikia mataifa mengine yanasema "HE IS NIGERIAN" kumbe ndivyo sivyo.
Hivyo nadhani Jambo hapo ni kufahamika kwa nchi husika,nyie ni mashahidi Tanzania haijulikani kihivyo,angalia dunia ilifahamu kwamba Serengeti ipo kenya,Mlima kilimanjaro upo kenya,japo angalau sasa hivi tunaona serikali inafanya juhudi za kuitangaza nchi kimataifa,Hakuna asiyefahamu ya kwamba kujulikana kwa nchi husika ndo kutapelekea pia watu kuweza kufatilia utamaduni wa nchi husika ikiwemo muziki.

2.LUGHA

Hii pia inaweza ikawa ni sababu japo sidhani kama ina ukubwa huo,labda kwenye biashara ya muziki na wala si muziki wenyewe,kwa mimi ninavyoelewa muziki ni UNIVERSAL LANGUAGE kwa maana kwamba hata kama uelewi kinachoimbwa basi utaupenda muziki ikiwa ni mzuri,miaka ya nyuma tuliiipenda sana miziki ya kizungu(mamtoni)japo kuwa hatukuelewa walichokiimba,kwa wale wapenzi wa muziki wa kihindi(Nachi) walizipenda Nachi hata kama hawakuelewa kilichoimbwa,kilimata hapo ni muziki mzuri.
Hivyo Lugha inaweza kuchangia kwa kiasi fulani japo si kwa kiasi kikubwa.

3.PLATFORM ZA MAUZO

Kiukweli hapa nadhani wasanii wetu wa Tanzania siyo kwamba walikuwa hawapendi hizi platform ila kwa nchi yetu ya Tanzania hizo platform nyingi hazikuwepo ukilinganisha na huko Nigeria,Kwa mfano sidhani kama Tanzania ipo SPOTIFY,TIDAL,AMAZON n.k ila kwa huku kwetu tuliitumia sana YOUTUBE na ndo maana ukitaka kuangalia hakuna msanii kutoka huko Nigeria anayefua dafu kwa msanii wetu pendwa Bwana Diamondplatnumz kuanzia Subscribers na hata kwa ujumuisho wa watazamaji(Views)kwenye content zake za YouTube,Hivyo huku kwetu YouTube ina nguvu sana kulinganisha na huko Nigeria,na ndo maana sasa hivi tuna Audio mack pamoja na Boomplay ambapo wasanii wetu wameanza kuweka nyimbo huko.

4.IDADI YA MASHABIKI

Ukiangalia Nigeria nadhani ndilo Taifa lenye watu wengi Afrika kama sijakosea,basi ikiwa sivyo litakuwa la pili baada ya Misri,Huu mtaji wa mashabiki umechangia kwa kiasi kikubwa kupush ngoma zao kimataifa,ukiangalia pia Nigerians kwenye mataifa mengine ya Magharibi wapo wengi sana,Pia hawa jamaa wanaushirikiano sana kuringanisha na sisi.
Sasa ukichukua idadi ya watu waliopo hapa Afrika mashariki sidhani kama utaifikia ya Nigeria,pia japo tupo kama Afrika mashariki ambapo ilipaswa tupushiane lakini ni kinyume,leo ukienda Uganda ni nadra sana kusikia ngoma za Bongo kule,japo naona sikuhizi kidogo tunapenya penya,Ukienda kenya pia waliweka kama ka uzibe kuchezwa ngoma za bongo huko,hivyo wasanii wetu wanapaswa kupongezwa kwa jitihada binafsi,naamini ipo siku tutafika tu.



Ni hayo tu

Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
Mzee baba umeongea point kubwa Sana.
 
Ahsante sana kwa mada nzuri,niliitamani sana hii mada,nashukuru imekuja kwa wakati wake.

Kwanza kabisa inapaswa tuwapongeze wasanii wetu kwa kile wanachokifanya,japo yawezekana ni kidogo lakini hatuna budi kuwapongeza sana,
Pili,Jambo la wasanii wetu kufanya vizuri huko nje si kiswahili kama wengi wanavyodhani,kuna ngoma kali sana za wasanii wetu walizoimba kiswahili ukilinganisha na ngoma za hao jamaa wa West.

Hebu tuangalie maeneo kadhaa yanaweza kuwa sababu kubwa naza msingi

1.KUFAHAMIKA
Sasa hapa ni kwa nyanja zote,Ukiongelea Nigeria kimataifa bila shaka unaizungumzia Afrika,hawa jamaa walianza kufahamika tangu zamani kuanzia kwenye mafuta,Soka,Movies n.k,Hii ni fact tosha kwamba dunia ilianza kuwafuatilia tangu zamani na wao walishajijengea umaarufu huo Afrika nzima,nani asiyeifahamu Nigeria kwenye Movies zao zilizotikisa Afrika nzima na sehemu kadhaa za dunia?,Nani asiye ifahamu Nigeria kupitia mpira huku ikitikisa soka la kimataifa na ikitoa wachezaji wengi kwenda kucheza kimataifa?,Hivyo Nigeria ilikuwa maarufu toka zamani na ndo maana hata linapokuja suala la Muziki wanamuziki wa mataifa mengi ya Ulaya na Magharibi huwa wakiitazama Afrika wanaitazama Nigeria,nyie ni mashahidi tu juzi hapa baada ya Marekani kuingia kwenye mzozo na Iran,mwanamuziki kama Card B na Lil wayne licha ya kusema wanadamu za Nigeria walitaka kukimbilia Nigeria endapo mambo yangeenda ndivyo sivyo huko Kwao,Unataka kusema Nigeria is better than South Africa?,unataka kusema Nigeria is better than Egypt?,jibu ni hapana but wenzetu taifa lao lilishakuwa maarufu kupitia mambo niliyoyataja pamoja na culture yao.
Sasa hapa Bongo bado tunahaso kuitangaza Tanzania kwanza ijulikane ili wasanii wetu wapate popularity huko nje,na ndo maana msanii kama diamondplatnumz leo akitoa ngoma utasikia mataifa mengine yanasema "HE IS NIGERIAN" kumbe ndivyo sivyo.
Hivyo nadhani Jambo hapo ni kufahamika kwa nchi husika,nyie ni mashahidi Tanzania haijulikani kihivyo,angalia dunia ilifahamu kwamba Serengeti ipo kenya,Mlima kilimanjaro upo kenya,japo angalau sasa hivi tunaona serikali inafanya juhudi za kuitangaza nchi kimataifa,Hakuna asiyefahamu ya kwamba kujulikana kwa nchi husika ndo kutapelekea pia watu kuweza kufatilia utamaduni wa nchi husika ikiwemo muziki.

2.LUGHA

Hii pia inaweza ikawa ni sababu japo sidhani kama ina ukubwa huo,labda kwenye biashara ya muziki na wala si muziki wenyewe,kwa mimi ninavyoelewa muziki ni UNIVERSAL LANGUAGE kwa maana kwamba hata kama uelewi kinachoimbwa basi utaupenda muziki ikiwa ni mzuri,miaka ya nyuma tuliiipenda sana miziki ya kizungu(mamtoni)japo kuwa hatukuelewa walichokiimba,kwa wale wapenzi wa muziki wa kihindi(Nachi) walizipenda Nachi hata kama hawakuelewa kilichoimbwa,kilimata hapo ni muziki mzuri.
Hivyo Lugha inaweza kuchangia kwa kiasi fulani japo si kwa kiasi kikubwa.

3.PLATFORM ZA MAUZO

Kiukweli hapa nadhani wasanii wetu wa Tanzania siyo kwamba walikuwa hawapendi hizi platform ila kwa nchi yetu ya Tanzania hizo platform nyingi hazikuwepo ukilinganisha na huko Nigeria,Kwa mfano sidhani kama Tanzania ipo SPOTIFY,TIDAL,AMAZON n.k ila kwa huku kwetu tuliitumia sana YOUTUBE na ndo maana ukitaka kuangalia hakuna msanii kutoka huko Nigeria anayefua dafu kwa msanii wetu pendwa Bwana Diamondplatnumz kuanzia Subscribers na hata kwa ujumuisho wa watazamaji(Views)kwenye content zake za YouTube,Hivyo huku kwetu YouTube ina nguvu sana kulinganisha na huko Nigeria,na ndo maana sasa hivi tuna Audio mack pamoja na Boomplay ambapo wasanii wetu wameanza kuweka nyimbo huko.

4.IDADI YA MASHABIKI

Ukiangalia Nigeria nadhani ndilo Taifa lenye watu wengi Afrika kama sijakosea,basi ikiwa sivyo litakuwa la pili baada ya Misri,Huu mtaji wa mashabiki umechangia kwa kiasi kikubwa kupush ngoma zao kimataifa,ukiangalia pia Nigerians kwenye mataifa mengine ya Magharibi wapo wengi sana,Pia hawa jamaa wanaushirikiano sana kuringanisha na sisi.
Sasa ukichukua idadi ya watu waliopo hapa Afrika mashariki sidhani kama utaifikia ya Nigeria,pia japo tupo kama Afrika mashariki ambapo ilipaswa tupushiane lakini ni kinyume,leo ukienda Uganda ni nadra sana kusikia ngoma za Bongo kule,japo naona sikuhizi kidogo tunapenya penya,Ukienda kenya pia waliweka kama ka uzibe kuchezwa ngoma za bongo huko,hivyo wasanii wetu wanapaswa kupongezwa kwa jitihada binafsi,naamini ipo siku tutafika tu.



Ni hayo tu

Tulia hivyo hivyo dawa ikuingie..
well said...ila umemaliza kwa mipasho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom