Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Najua wachache wanamjua mtaalmu huyu hasa kwenye filamu za mapigano na ule unene wake lakini anapiga kung fu shida, kacheza na mastaa wengi nao movie tofauti kama Jacky Chan, Bluce Lee, Donny Yen...
1 Reactions
20 Replies
4K Views
Unaweza kudhani picha hii ina Maudhui ya Ngono lakini sio, Picha hii ni alama ya kitu ambacho kwa sasa kinaitwa "Roman Charity" Ilianzaje Roman Charity? Hapo zamani katika roma ya kale (Acient...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katika Uchina ya kale (Acient China) aliishi mzee mmoja mwenye busara sana, umaarufu wake ulivuka mipaka ya falme jirani na maeneo mengine mengi. Watu walitoka maeneo ya mbali kuja kupata busara...
0 Reactions
1 Replies
749 Views
Za kunyapia nyapia zinasema sababu halisi iliyo wafanya Clouds wa ahirishe tamasha lao ni mauzo duni ya tiketi. Inasemwa kwamba tiketi zilizo uzika zilikuwa ndogo sana.na.kwamba ingekuwa aibu kwa...
1 Reactions
33 Replies
5K Views
Mkongwe wa kuigiza na mzalishaji wa movies, amezaliwa Washigton Dc mwaka 1948. Leo nimeamka nae kumuangalia kwenye movie ya The Hitman, Bodyguard na sasa namalizia The Rule of Engagement. Unaweza...
2 Reactions
26 Replies
3K Views
Leo nimeikiza Clouds Fm's XXL bila ya uwepo wa Dozen lakini bado nimeona show ni nzuri. Wana varieties ya segment ambazo haziboi. Mamy amerudi kwenye Hot3@3 basi utani wao na Mchomvu inakuwa...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Pengine kutokana na hulka ya JPM kufanya teuzi mbalimbali za wasaidizi wake kutoka vyombo mbalimbali vya habari inawezekana kabisa hii dhana imewaondolea weledi baadhi ya watangazaji wengi wa...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Joker au jokeri, wacheza karata wanampenda na wanamwogopa, akikulalia huyu unahesabiwa una 50, kwenye adhabu unamlambisha mtu 5. Tuachane na huyu Joker anayejulikana kwa jina la Arthur Fleck...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Sitoisahau Mbeya; Mwanzo mwisho..
5 Reactions
6 Replies
5K Views
RIWAYA: MKOLONI MZAWA—2 MTUNZI: HASSAN MBONECHE SEHEMU YA 01. Hali ilibadilika! Waraka wa ushauri wa utafiti uliofanywa na Jackson ulipelekea raia wengi waishi kwa shida. Hasa walioshupalia...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
NYEMO CHILONGANI. UTAJIRI WENYE UCHUNGU. Sehemu ya Kwanza. “All people who live at the beach have to leave immediately because tsunami will come. Once you hear this announcement, tell your...
15 Reactions
281 Replies
46K Views
Nimekuwa nikiangalia mechi za mpira wa miguu za tanzania kupitia king'amuzi cha azam kwenye Smat TV. Niliangalia mechia ya yanga na simba ya tarehe 12 July 2020 na mechi ya Yanga na Singida ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kufaidi keki iliyoko kwenye tasnia ya burudani, Music video ni uma mzuri, ukiutumia kibunifu unaweza ukachoma mapande yenye faida. Kwanini? Music video producers wapo wachache? Hapana bali wengi...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Salama wakuu, Nina aibu sana, pia mazingira niliyokulia hamna mambo hayo kabisa. Hapa ninatarajia kufunga ndoa mwezi ujao na kama mnavyojua mambo ya kuingia ukumbini na mengineyo kwenye shughuli...
3 Reactions
127 Replies
13K Views
Katika uzi huu, nitakuwa naweka link za moja kwa moja za kupakua sinema kali kabisa (compressed za 300MB tu!) zilizowahi kutokea, utaweza kuzipakua na kuziangalia moja kwa moja kwenye simu au...
12 Reactions
87 Replies
12K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…