Yuen Biao kapotelea wapi yule jamaa?Najua wachache wanamjua mtaalmu huyu hasa kwenye filamu za mapigano na ule unene wake lakini anapiga kung fu shida, kacheza na mastaa wengi nao movie tofauti kama Jacky Chan, Bluce Lee, Donny Yen, Jet Lee, na wengine wengi.
Sasa ulikimbilia Nini kuanzisha Uzi? Si ungesubiri upate bando.Kidogo picha zina bando maana natumia free basics buree nashindwa kuipost picha