Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 168
- 254
Leo nimeikiza Clouds Fm's XXL bila ya uwepo wa Dozen lakini bado nimeona show ni nzuri. Wana varieties ya segment ambazo haziboi. Mamy amerudi kwenye Hot3@3 basi utani wao na Mchomvu inakuwa burudani
Clouds wanajua kutengeneza watu, pengo la Dozen lipo lakini sio kwamba kipindi hakiwezi kuendelea kuwa kizuri
Media nyingine zitengeneze watu, sio mmoja tu akiondoka na kipindi kinakufa
Clouds wanajua kutengeneza watu, pengo la Dozen lipo lakini sio kwamba kipindi hakiwezi kuendelea kuwa kizuri
Media nyingine zitengeneze watu, sio mmoja tu akiondoka na kipindi kinakufa