Hawa ndiyo wanafanya muziki, kila kifaa kinapigwa live hakuna disortion

Mi huwa napenda sana kuangalia live perfomance za mbele kiasi ambacho nikiwaangalia hawa wasanii wetu wa bongo,hawanishawishi kabisa..kama juzi kwenye simba day walivyokuwa wakiimba dah nilikuwa naona kama wananizingua tu kiasi ambacho kama ndo ingekuwa ndo naangalia tv ningepeleka mbele...angalia show ya jay z na alicia keys ya newyork empire state of mine,angalia p-diddy show aliyopiga london katika kumbukumbu za queen elizabeth,kaangalie mtaalamu ja rule miami beach,kid ink show me miami beach...acha na hizo kuna huyu jamaa anaitwa ed sheran dah jamaa hawabahatishi
 
Mi huwa napenda sana kuangalia live perfomance za mbele kiasi ambacho nikiwaangalia hawa wasanii wetu wa bongo,hawanishawishi kabisa..kama juzi kwenye simba day walivyokuwa wakiimba dah nilikuwa naona kama wananizingua tu kiasi ambacho kama ndo ingekuwa ndo naangalia tv ningepeleka mbele...angalia show ya jay z na alicia keys ya newyork empire state of mine,angalia p-diddy show aliyopiga london katika kumbukumbu za queen elizabeth,kaangalie mtaalamu ja rule miami beach,kid ink show me miami beach...acha na hizo kuna huyu jamaa anaitwa ed sheran dah jamaa hawabahatishi
unajua sisi waafrika kinachotuponza ujuaji
kila kitu unataka tufanane na hao wazungu
show zenyewe unaangalia kwenye TV bure halafu unalalamika
wapo wanaoimba live hapa Tanzania ila huwendi kazi lawama na kuwasifia wapuuzi wasiokujua kabisa
 
unajua sisi waafrika kinachotuponza ujuaji
kila kitu unataka tufanane na hao wazungu
show zenyewe unaangalia kwenye TV bure halafu unalalamika
wapo wanaoimba live hapa Tanzania ila huwendi kazi lawama na kuwasifia wapuuzi wasiokujua kabisa
Mimi napenda kazi nzuri,sipendi kujuana..mtu kama anafanya kazi nzuri hata kama hanijui mimi huwa namsifia tu,mi sina roho mbaya jamaa..kitu kizuri hata kama hukioni "live" utaona tu kuwa ni kazi nzuri,kusifia mtu hadi awe anakujua au awe mnajuana ni aina nyingine ya ROHO MBAYA na UCHAWI...jirekebishe jamaa
 
Wewe ndio yule ulidanganya kuhusu ajali ya mwanafunzi UDSM aliyegongwa na gari akafa mwaka 2012?
Sikudanganya.. ila nyie ndio mliunganisha matukio mawili tofauti na nilichopost mimi...

uzi niliandika 2012 watu wanakuja kufananisha na tukio la 2020..hapo nani aliyedanganya
 
Mkuu Nafaka ahsante sana kaka, nimekuwa nikifatilia sana hii sound track ya Gladiator, now we are free, nimeona version mbali mbali kutoka vikundi tofauti, bila Shaka Hans Zimmer aliumiza ubongo sana katika kutoa hii kitu, hii ni moja ya sound track bora kabisa kuwahi kutokea kwa miaka ya hivi karibuni. Wasanii wa Tz wana cha kujifunza hapa. Na pia utaona umuhimu wa kuwa na Arena zenye viwango.
 
Mkuu Nafaka ahsante sana kaka, nimekuwa nikifatilia sana hii sound track ya Gladiator, now we are free, nimeona version mbali mbali kutoka vikundi tofauti, bila Shaka Hans Zimmer aliumiza ubongo sana katika kutoa hii kitu, hii ni moja ya sound track bora kabisa kuwahi kutokea kwa miaka ya hivi karibuni. Wasanii wa Tz wana cha kujifunza hapa. Na pia utaona umuhimu wa kuwa na Arena zenye viwango.
Hans Zimmer anajua sana vipi unamfuatiliaga Enya?
 
Back
Top Bottom