reg edit
JF-Expert Member
- Oct 4, 2012
- 403
- 504
Nimeusikiliza huu wimbo aisee kijana ameimba kwa hisia saaana.. inawezekana ukawa ndio wimbo unaoamsha sana hisia kuliko zote kwenye nyimbo za maombolezo ya msiba wa raisi wetu Magufuli.
Kuanzia vocals, beat na mpangilio wa maneno amejitahidi sana.
Link hiyo
Kuanzia vocals, beat na mpangilio wa maneno amejitahidi sana.
Link hiyo