Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 3,877
- 3,675
Wale wahenga njooni huku
Kumenoga
Kipindi hicho kilikuwa kitamu sanaHuu wimbo naukibaligi sana.
Mkuu Malcolm unakumbukana kipiHii nyimbo nikisikiaga inanikumbusha mbali sana
Hapa nilikuwa nacheza,ukumbi mzima nazunguka mimi,jasho mwili mzima,aisee nimefurahi sana kuuona huu wimboMkuu Malcolm unakumbukana kipi
Siku hizi nyimbo zao kizazi kipya hazinipi mzuka kabisa sijui kwa nini
Pamoja sana mkuuuNaikubal sana nyimbo yao ya Amigo
Hahahaha inaonekana ulikua mtundu wa kusakata dansiiiHapa nilikuwa nacheza,ukumbi mzima nazunguka mimi,jasho mwili mzima,aisee nimefurahi sana kuuona huu wimbo
Kipindi hicho kilikuwa dhahabuHapa nilikuwa nacheza,ukumbi mzima nazunguka mimi,jasho mwili mzima,aisee nimefurahi sana kuuona huu wimbo
Hii nyimbo kali Sanaa,mpaka leo,nikiisikiaga lazima nisimame,shida siku hizi sehemu za nyimbo hizi unakuta wamejazana watoto tuuuuKipindi hicho kilikuwa dhahabu
Yaani burudani ya kipindi hicho haikuwa ya kitoto inatoboa mpaka leoHii nyimbo kali Sanaa,mpaka leo,nikiisikiaga lazima nisimame,shida siku hizi sehemu za nyimbo hizi unakuta wamejazana watoto tuuuu