Video: Afro ya Les Wanyika

Hii nyimbo kali Sanaa,mpaka leo,nikiisikiaga lazima nisimame,shida siku hizi sehemu za nyimbo hizi unakuta wamejazana watoto tuuuu
Yaani burudani ya kipindi hicho haikuwa ya kitoto inatoboa mpaka leo

Wa kileo wamebaki na vinyoka nyoka tu hata yale majoka tuliyokuwa tukiyaita sie hayapo ( kaenda kuruka majoka )

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom