Bongo fleva zilipendwa audio 2012 to the past

Bongo fleva zilipendwa audio 2012 to the past

manem

Member
Joined
Jul 4, 2016
Posts
88
Reaction score
55
Wakuu huu uzi ni pendekezo la wadau na wapenz wa bongo fleva. Hapa tutataja wimbo/nyimbo ya/za bongo fleva za zaman unayoikubali/unazozikubali na kuiapload aka kuiweka ili kila mdau atayevutiwa aweze kuipakua kwa raha zake. Karibun sana.
 
Daaaaah! maneno yaliyomo humu ndan hakiyanani kama demu upo nae geti na anazingua akiusikiliza lazima atepaete hatariii
Kuna ngoma inaitwa GITA - MSANII NI NANI unayoo??
 
  • Thanks
Reactions: Lee
gitaa gitaaa gitaaaa mpenzi gita mi napo kwita..... kaka hii ngoma ilikuwa tam sana ila sijui kaimba nan
Msanii anaitwa nani. Hadi kuna line ina sema


" Gita Nani nakuita itika baasi, na tena naona daily unapenda mikasi, nite Nani mim mzeee wa nyasi, figure yako ya kuvaa kimini

Basi gitaa haunitoki akilini,
Nyuzi zako sita kiunoni,
Sauti yako inavyopenya masikioni......"


Nakumbuka lines zote ila naisaka hii ngoma kichizi yani
 
Mwenye Girlfriend-isaack km cjakosea..
"Acha waseme we ndo wangu girlfriend, acha waponde we ndo wangu girlfriend,
Km kna ktu nmekukosea,nakiri kwako mpenz unisamehhe,acha waseme acha waponde wewe ndo wangu gf"
Ngoma kali sana hiyo ngoja niicheki kama ipo!!
 
Msanii anaitwa nani. Hadi kuna line ina sema


" Gita Nani nakuita itika baasi, na tena naona daily unapenda mikasi, nite Nani mim mzeee wa nyasi, figure yako ya kuvaa kimini

Basi gitaa haunitoki akilini,
Nyuzi zako sita kiunoni,
Sauti yako inavyopenya masikioni......"


Nakumbuka lines zote ila naisaka hii ngoma kichizi yani

noma sana ukiipata ntumie mkuu naikubali hiyo hatari
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom